Lamu and Bagamoyo Ports Progress

Lamu and Bagamoyo Ports Progress

bagamoyo imefutwa baada ya magufuli kusikia lowassa ana interest za kiuchumi huko.
 
Kwa iyo ndio mtakuwa na bandari mbili kama sijakosea, Mombasa na Lamu, bongo kuna ports mtwara, lindi, tanga, kigoma, mwanza na kule ziwa nyasa kule. Iyo ya bagamoyo itakuwa ya mkoa wa Pwani and will be ze largest one ofcoz, meanwhile serikali inarenovate cha tanga kwanza ili iweze kupakia mafuta ya Ug na kupakia mizigo ya Arusha na Moshi ambayo kwa sasa, mingi hupitia Mombasa. Alafu zitarenovatewa zile za kusini kushindana na zile za Msumbiji kwa mizigo ya Zambia etc.
So my point is, threat ya bandari ya Lamu kwetu bongo imeshakuwa eliminated kitambo, how? Bomba la Ug litapita Tanga, meanwhile same Tanga port inapose risk kwenye bandari yenyu ingine ya Mombasa.

Msidhani bongo kuna mabongolala, kelele za bagamoyo zililetwa ili kuwapoteza dira, wakati wanaume tunawatongoza waganda, wamekubali tu, kelele za bagamoyo port zikapoa.

You think it happened accidentaly

Congrats, You're an expert.
KE can't compete with TZ, we are ahead of them (KE) so far it's just a matter of time the truth will be revealed!!
 
Jibu au ubongo uliyojaa kamasi
Yanayoendelea hats hamjiu?
Ubongo wako ndo umejaa kamasi maana hujui hata kujenga hoja zaidi ya kutoa matusi!

Shame on you[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Picha hizi ni msumari moto kwenye donda ndugu la Geza Ulole...hohoho!!!
 
Bagamoyo port sio priority yetu kwa sasa! Nenda Tanga na Mtwara ukaone kazi inayofanyika huko sa hz!
Kenya ilipoamua kujenga Lamu, s nyinyi mlikurupuka ati kujenga Bagamoyo in respponse? Mpaka mkaborow sijui ilikuwa $13bn. Maji haya yakawazidi shingoni.......now u are smarting from your failure, mara sijui Mtwara, Tanga.....kuimprove Dar instead. Muelekeo mmekosa, and the clients are watchimg closely.
If there, one thing they dislike is such confusion.
 
Kenya ilipoamua kujenga Lamu, s nyinyi mlikurupuka ati kujenga Bagamoyo in respponse? Mpaka mkaborow sijui ilikuwa $13bn. Maji haya yakawazidi shingoni.......now u are smarting from your failure, mara sijui Mtwara, Tanga.....kuimprove Dar instead. Muelekeo mmekosa, and the clients are watchimg closely.
If there, one thing they dislike is such confusion.
Kwanza hatukukurupuka kujenga bandari ya bagamoyo, that was just a political sensitive issue strategically planned to buy time while dealing with some serious issues!

Halafu kumbe hujui chochote, na tukiwaambia it was a ploy mkubali na mjie mliingia cha kike, plan ilikuwa itumie $10bn, we hapa unasema tulikopa sijui wapi $13bn, just agree, our plan worked!

About our customers, we know what they want, a quick delivery of their cargo! Ndo maana tunajenga sa hz SRG ambayo itafika kwenye nchi zao!

Hatuna mchezo sa hizi! Tunachanja mbuga kweli kweli, You just relax and watch! I mean agiza energy drink uwe unakunywa huku unaangalia mchezo! don't worry kuhusu bill ya kinywaji, ntakuja kulipa[emoji4]
 
Pamoja na majisifu yao level zao ndio sie TZ. Huwezi kukuta Bolton akijifananisha na real madrid, lazima awatafute kina portsmouth bana.
Kenya plays the big league in the African political and economic affairs. It is amongst the most influential countries in Africa, in some aspects even more than sone of the biggest economies in Africa.

The big news channels, in their coverage of the last Tanzanoan elections often kept deacribing Tanzania as the "East African nation, bordering Kenya to the South". What does that tell u? Kenya is more reknowed globally than Tz.
 
Kwanza hatukukurupuka kujenga bandari ya bagamoyo, that was just a political sensitive issue strategically planned to buy time while dealing with some serious issues!

Halafu kumbe hujui chochote, na tukiwaambia it was a ploy mkubali na mjie mliingia cha kike, plan ilikuwa itumie $10bn, we hapa unasema tulikopa sijui wapi $13bn, just agree, our plan worked!

About our customers, we know what they want, a quick delivery of their cargo! Ndo maana tunajenga sa hz SRG ambayo itafika kwenye nchi zao!

Hatuna mchezo sa hizi! Tunachanja mbuga kweli kweli, You just relax and watch! I mean agiza energy drink uwe unakunywa huku unaangalia mchezo! don't worry kuhusu bill ya kinywaji, ntakuja kulipa[emoji4]
Kwanza hatukukurupuka kujenga bandari ya bagamoyo, that was just a political sensitive issue strategically planned to buy time while dealing with some serious issues!

Halafu kumbe hujui chochote, na tukiwaambia it was a ploy mkubali na mjie mliingia cha kike, plan ilikuwa itumie $10bn, we hapa unasema tulikopa sijui wapi $13bn, just agree, our plan worked!

About our customers, we know what they want, a quick delivery of their cargo! Ndo maana tunajenga sa hz SRG ambayo itafika kwenye nchi zao!

Hatuna mchezo sa hizi! Tunachanja mbuga kweli kweli, You just relax and watch! I mean agiza energy drink uwe unakunywa huku unaangalia mchezo! don't worry kuhusu bill ya kinywaji, ntakuja kulipa[emoji4]
Mlikimbilia kujenga port ya Bagamoyo pindi mlipoona wakenya wamezindua mradi wa Lamu, hafla ilioudhuriwa na viongozi kadhaa kutoka kanda hili.
Well, the estimates kuhusu gharama ya mradi is not clear. Serikali iliomba Uchina $bn10. Lakini ikabaknika ingegarimu zaidi ya hiyo. Wengine wakaestimate kati ya bn 11 hadi hata 15bn $s!
Serikali ikakosolewa ya kuamba hautakuwa na manufaa zaidi ya kuimarisha Dar port ama Tanga.
Lakini ni bayana Tanzania ina wasiwasi ya kwamba huenda Kenya ikawateka wateja karibia wote kanda hii miradi yao ya kumarisha Mombasa na kujenga Lamu ikifua dafu.
 
Jamaa ndio amejidhihirisha kama wao ni wajinga wa kutupwa, eti Tusifananishe kenya na upuuzi (TZ) mleta mada kaja kufananisha kenya na huo wanaoita upuuzi, kutwa wanakaa wanajifananisha na watz, kazi kukaa a ku compare Tz na Ke afu leo anathubutu kuniita idiot, siku zote nawatizama tu na majigambo yao wakijisifia wasomi wameendelea, wasomi wanaobaguana, wasomi wanaojipendekeza, wasomi wanajifananisha na TZ!! Watulie tu wakenya, vichwa vinawauma kwa watz mana kila wanachofanya wanawatizama waTz....
Nimekuwa sana kenya, aisee wako chini mara mia ya tz, wanashida nyingi na kubwa sana, kilichofanyika ni kukusanya vimapato vyao na kujenga magorofa, fly over kasehem kadogo sana ka nchi nzima ambako ni nairobi...trust me few kilometres away toka nairobi hali ni worse barabara, nyumba za wakazi, elimu ovyo,..yan hata huko pemben ya nairobi hawajui kiingeeeza wala kiswahili kila mtu na lugha yake!
You people msijifariji kwa shida zile ninazojua.
Natulia mkiendelea narejea.
 
Mlikimbilia kujenga port ya Bagamoyo pindi mlipoona wakenya wamezindua mradi wa Lamu, hafla ilioudhuriwa na viongozi kadhaa kutoka kanda hili.
Well, the estimates kuhusu gharama ya mradi is not clear. Serikali iliomba Uchina $bn10. Lakini ikabaknika ingegarimu zaidi ya hiyo. Wengine wakaestimate kati ya bn 11 hadi hata 15bn $s!
Serikali ikakosolewa ya kuamba hautakuwa na manufaa zaidi ya kuimarisha Dar port ama Tanga.
Lakini ni bayana Tanzania ina wasiwasi ya kwamba huenda Kenya ikawateka wateja karibia wote kanda hii miradi yao ya kumarisha Mombasa na kujenga Lamu ikifua dafu.
Kuwa na wasiwasi sio mbaya since we are competitors! Suala la busara zaidi na ambalo tunalifanya ni kuchukua hatua ili hiyo wasiwasi isije kuwa reality! Nadhani unaelewa kinachoendelea sasa hivi ili kuwabakiza wateja wetu na kuongeza wengine, Japo nyie mmejiondoa kwenye kununua gesi inayopitia tz!

And kuhusu ambiguity ya gharama za huo mradi na kwa kutoanza, baada ya kuuchambua ungeongeza deni la taifa, kitu ambacho hatukitaki kwa sasa, Serikali ya china na Oman tayar walitaka kutupa hela lakini tumeipiga chini!

Tunatumia hela zetu wenyewe kufanya mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kwa sasa
 
Kenya plays the big league in the African political and economic affairs. It is amongst the most influential countries in Africa, in some aspects even more than sone of the biggest economies in Africa.

The big news channels, in their coverage of the last Tanzanoan elections often kept deacribing Tanzania as the "East African nation, bordering Kenya to the South". What does that tell u? Kenya is more reknowed globally than Tz.
Like which news channel? Because when i read about the death of students on bbc they never tried to describe the location of Tanzani
 
Nimekuwa sana kenya, aisee wako chini mara mia ya tz, wanashida nyingi na kubwa sana, kilichofanyika ni kukusanya vimapato vyao na kujenga magorofa, fly over kasehem kadogo sana ka nchi nzima ambako ni nairobi...trust me few kilometres away toka nairobi hali ni worse barabara, nyumba za wakazi, elimu ovyo,..yan hata huko pemben ya nairobi hawajui kiingeeeza wala kiswahili kila mtu na lugha yake!
You people msijifariji kwa shida zile ninazojua.
Natulia mkiendelea narejea.

Nchi inaongoza kwa slums Africa afu inakuja kujitamba! Ovyo sana hawa jamaa, watu wenyewe wanapeperusha bendera ya kwa kutumia mlima wetu kilimanjaro 😀 wanajigamba kwa mgongo wa Tanzania!!
 
Naombea kwa Mungu, uchaguzi huu wa Kenya kutokee machafuko wafe watu angalau laki 5.
 
Naombea kwa Mungu, uchaguzi huu wa Kenya kutokee machafuko wafe watu angalau laki 5.
Kujeni muone devil worshipper hapa,when we feel sad about their tragedies hao wanatutakia mabaya, enyewe some Tanzanians are jus idiots.Hayo maombi yako mungu hajaisikia lakini shetani amekuskiza vizuri
 
Nchi inaongoza kwa slums Africa afu inakuja kujitamba! Ovyo sana hawa jamaa, watu wenyewe wanapeperusha bendera ya kwa kutumia mlima wetu kilimanjaro 😀 wanajigamba kwa mgongo wa Tanzania!!

hebu niambie kwa nini 70 %Ya wakaaji wa Dar wanaishi kwenye slums??
 
Naombea kwa Mungu, uchaguzi huu wa Kenya kutokee machafuko wafe watu angalau laki 5.

I said Danganyikans are Devil worshippers and i have confirmed today with this cabbage head.
 
Back
Top Bottom