Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kuna ubaloz ulikua unapiga.mnada hz ndinga majuzWadau hizi gari unaweza kupata kwa bei gani kuanzia mwaka 2002 mpaka 2007.
Nimewahi kusikia kwamba unaweza kupata kwa bei nzuri kwenye auctions za NGOs ama Serikalini.
Mwenye kujua naomba ushauri zaidi.
Shukrani
View attachment 2125023
Ubalozi upi huoKuna ubaloz ulikua unapiga.mnada hz ndinga majuz
EmbassyUbalozi upi huo
Unaweza kuta ana info nzuri maana hizi gari nazitafuta kitambo sana.Embassy
Hio gari ni chuma kamili with solid front axleUnaweza kuta ana info nzuri maana hizi gari nazitafuta kitambo sana.
Kali sana
Machine kweli hii halafu haina mambo Mengi. Ni mwendo wa kazi tuHio gari ni chuma kamili with solid front axle
Eh hio ni kaz kazi hamna mbwembwe ni reborn 80 seriesMachine kweli hii halafu haina mambo Mengi. Ni mwendo wa kazi tu
Kuna mzee nafahamu alishawahi kununua kwa 6M la serikali upande wa mahakama.Machine kweli hii halafu haina mambo Mengi. Ni mwendo wa kazi tu
Una Pesa?Unaweza kuta ana info nzuri maana hizi gari nazitafuta kitambo sana.
Kali sana
Pesa ipo. Tuma picha pmUna Pesa?
Yapo vizuri ukipata la Serikali, ubalozini ama NGOs unaweza kununua kwa Bei nzuri sanaKuna mzee nafahamu alishawahi kununua kwa 6M la serikali upande wa mahakama.
Akalipia kodi akabandika namba DX mwaka jana hiyo mkuu.
Bado liko makini kabisa yani.
Mjapani alichezaEh hio ni kaz kazi hamna mbwembwe ni reborn 80 series
Huku nilipo zinanunuliwa kwenye hio minada zikiwa mbovu then tunarekebisha garage, kama uko serious njoo inbox nikupe connectionWadau hizi gari unaweza kupata kwa bei gani kuanzia mwaka 2002 mpaka 2007.
Nimewahi kusikia kwamba unaweza kupata kwa bei nzuri kwenye auctions za NGOs ama Serikalini.
Mwenye kujua naomba info zaidi.
Shukrani
View attachment 2125023
Uko wapi mkuu?!Huku nilipo zinanunuliwa kwenye hio minada zikiwa mbovu then tunarekebisha garage, kama uko serious njoo inbox nikupe connection
@kali linux Ubuntu pm haujibuHuku nilipo zinanunuliwa kwenye hio minada zikiwa mbovu then tunarekebisha garage, kama uko serious njoo inbox nikupe connection
Sijaona PM yako.@kali linux Ubuntu pm haujibu