Land Cruiser GX 105 series

Land Cruiser GX 105 series

Mzee Kigogo

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
9,968
Reaction score
16,680
Wadau hizi gari unaweza kupata kwa bei gani kuanzia mwaka 2002 mpaka 2007.
Nimewahi kusikia kwamba unaweza kupata kwa bei nzuri kwenye auctions za NGOs ama Serikalini.
Mwenye kujua naomba info zaidi.
Shukrani

6C432CF3-6ACA-4B17-9AD6-8CADA79069E6.jpeg
 
Wadau hizi gari unaweza kupata kwa bei gani kuanzia mwaka 2002 mpaka 2007.
Nimewahi kusikia kwamba unaweza kupata kwa bei nzuri kwenye auctions za NGOs ama Serikalini.
Mwenye kujua naomba info zaidi.
Shukrani

View attachment 2125023
Huku nilipo zinanunuliwa kwenye hio minada zikiwa mbovu then tunarekebisha garage, kama uko serious njoo inbox nikupe connection
 
Nimeshuhudia hzi 100 na 105 series offroad nyingi sio zakibabe sana.
Nimeona unataka kuchukua patrol td42,nakushauri temana nazo zote hizo uende kwenye Lc 80 series ya engine ya 1hz manual diesel dundo ambalo hutojutia kua nalo na kukupa faida kibao!zipo mkononi kwa bei nafuu mno.
Au Lc 70 series yoyote iwe 76,78/79 ya 1hz engine mkataba mno,popote kambi,spea kibao,reliability yakutosha
 
Back
Top Bottom