Mkuu umekuja na series ila naomba uje na model maana series zinaweza kuwa na engine ya aina moja mfano 1hdt au 1HKZ au 1HKJ sasa hizi model ndizo zinaweza kujua gari ni ipi nzuri.
wanazo v8 nimeziona zile pickup double cabin v8Hii series nao Wana V8?
hapo sawa, na mazur ni yale yanapelekwa kwa wenzetu kuna passo for us market nimeipenda bure upand wa injinNot really Kampuni ni moja ila matoleo yake ya mwaka mmoja uki compare yana vionjo tofauti na kimoja ulishakitaja which is Transmition.
hapo sawa, na mazur ni yale yanapelekwa kwa wenzetu kuna passo for us market nimeipenda bure upand wa injin
kama huna lakucomment pita tu sio lazima..Una hela au unahusudu tuu? Maana ni dhambi kuusudu bila kuwa na hela matokeo yake
Utatamani
Then
Utaiba
Then
Utafungwa jela
Naona toyota wameamua kutubadilishia taa tu kwa hizo series za 2016.
Hii yangu 200 series 2016 iko vizuri ki aina πππHabari wadau wa jf,
Nmekuwa nikiziona na kuzihusudu hizi gari tokea nimepata ufahamu wangu, leo nimeona nije kushare na wale wengine mnaozifahamu pia hizi gari ikiwa ni gari iliojizolea umaarufu sana hapa nchini na Africa kwa ujumla kutokana na umahiri wake. Zipo katika matoleo tofauti ila kwa hapa kuna LC 76 series, LC 78 series, LC 80 series, LC 100 series, LC 200 series ya mwaka 2008 na ya mwaka 2016...
ila naona design kali ilikuwa ya 80 series na 100 series wadau, ni vile sijapata hizo penenge ila lazma ntakamata moja hasa 100 series respect
Kweli kuna kavitz ka ulaya kanaitwa Yaris kana speed 200There u are wewe kijana uliyekaririshwa.
The biggest reason for tropical version ni cooling system ambayo inakua mostly affected by temperature kwenye tropical regions. Na kitu kinachofanyika hapo ni kuweka thermostat au carlostat ambayo ni compatible na mazingira hayo ya climatepamoja na vitu vingine mkuu.
Sasa tuambie kama climate nayo inasababisha na change in features kama Full option,Cruise control, width na mengineyo., Sababu RAV 4 made for US ya same year lets 2005 and same model ya Africa inapishana upana halafu bado unakuja na hoja zako za kukaririshwa hapa za Tropical cjui nn umeambiwa USA hakuna majangwa?
Narudia tena acha chai we jamaa.
Elewa kabisa Toyota market ya US,EU,Africa nk zinapishana kwa vigezo vya quality,features na mengineyo.
Je do u know magari meant for Eu na US wameanza kupewa feature ya kutumia Diagnosis tools mapema? Je wajua ni kwann?
In short kwanza soko la Africa hawalitegemei kabisa na wala hawawezi kuja juta kupoteza hili soko sababu wanunuaji wa magari mapya huku ni wachache sana.
Nakushauri tena kama una pesa nunua gari meant for Eu utafurahi.
12HT imo kwenye baadhi ya hizo 60 series,ni injini ya kibabe sana na sound yake ni[emoji95]hio ni 60 series mkuu, more rugged 4x4 machine zilitamba miaka ya themanini huko!