Land cruiser ipi mjapani alitulia kati ya hizi

Land cruiser ipi mjapani alitulia kati ya hizi

Mkuu umekuja na series ila naomba uje na model maana series zinaweza kuwa na engine ya aina moja mfano 1hdt au 1HKZ au 1HKJ sasa hizi model ndizo zinaweza kujua gari ni ipi nzuri.

Mkuu unamaanisha HDJ na HZJ nadhani, sio kama ulivyokusudia ambapo chassis ya HDJ ina engine ya 1HDT na chassis ya HDJ ina 1HZ engine ndani yake.

Pia kama ulimaanisha engine ya 1KZ ni sawa pia coz inakaa kwenye LC Prado, Surf na Hiace ambapo chassis ya prado itakua na prefix ya KZJ na Surf KZN.

By the way it is a good recommendation, maybe aliona atajaza vitu vingi sana kwenye uzi.
 
Not really Kampuni ni moja ila matoleo yake ya mwaka mmoja uki compare yana vionjo tofauti na kimoja ulishakitaja which is Transmition.
hapo sawa, na mazur ni yale yanapelekwa kwa wenzetu kuna passo for us market nimeipenda bure upand wa injin
 
hapo sawa, na mazur ni yale yanapelekwa kwa wenzetu kuna passo for us market nimeipenda bure upand wa injin

Kiukweli wenzetu wanapendelewa sana, passo za huku kwetu chai sana aisee. Kuna watu wanabisha humu kwamba Toyota hawatofautishi Quality na Features za magari yetu huku Africa na Wenzetu US na EU. Wanadai they r all the same

Thank u kwa kuliona hili
 
Hii ni Model gani.,nimeifuma mahali
 

Attachments

  • 1464695291414.jpg
    1464695291414.jpg
    56.9 KB · Views: 122
Best LC ni series 80,ikifuatiwa na series 100... 100 imetengenezwa kwa uwezo karibu sawa na 80 na ina vitu vya kisasa.
 
Habari wadau wa jf,
Nmekuwa nikiziona na kuzihusudu hizi gari tokea nimepata ufahamu wangu, leo nimeona nije kushare na wale wengine mnaozifahamu pia hizi gari ikiwa ni gari iliojizolea umaarufu sana hapa nchini na Africa kwa ujumla kutokana na umahiri wake. Zipo katika matoleo tofauti ila kwa hapa kuna LC 76 series, LC 78 series, LC 80 series, LC 100 series, LC 200 series ya mwaka 2008 na ya mwaka 2016...
Hii yangu 200 series 2016 iko vizuri ki aina 🙂🙂🙂
 
There u are wewe kijana uliyekaririshwa.

The biggest reason for tropical version ni cooling system ambayo inakua mostly affected by temperature kwenye tropical regions. Na kitu kinachofanyika hapo ni kuweka thermostat au carlostat ambayo ni compatible na mazingira hayo ya climatepamoja na vitu vingine mkuu.

Sasa tuambie kama climate nayo inasababisha na change in features kama Full option,Cruise control, width na mengineyo., Sababu RAV 4 made for US ya same year lets 2005 and same model ya Africa inapishana upana halafu bado unakuja na hoja zako za kukaririshwa hapa za Tropical cjui nn umeambiwa USA hakuna majangwa?

Narudia tena acha chai we jamaa.

Elewa kabisa Toyota market ya US,EU,Africa nk zinapishana kwa vigezo vya quality,features na mengineyo.

Je do u know magari meant for Eu na US wameanza kupewa feature ya kutumia Diagnosis tools mapema? Je wajua ni kwann?

In short kwanza soko la Africa hawalitegemei kabisa na wala hawawezi kuja juta kupoteza hili soko sababu wanunuaji wa magari mapya huku ni wachache sana.

Nakushauri tena kama una pesa nunua gari meant for Eu utafurahi.
Kweli kuna kavitz ka ulaya kanaitwa Yaris kana speed 200
 
Back
Top Bottom