baba nanihii
Member
- Nov 28, 2015
- 69
- 116
Hongera sana, Nenda Moshi kuna vijana wanafanya kwa bei nzuri sana otherwise Rajinder Motors Moshi ndo kazi zao ila wako juuHabari za mihangaiko wana jamvi nimejikusanya nimenunua land cruiser hard top sasa nataka niigeuze itumike kwenye kazi za utalii sasa sijui wapi wanafanya maboresho ili iwe ndefu kidogo kama zile zinazo onekana Arusha na kwa anayefahamu bei itakua msaada zaidi. Natanguliza shukrani.
Yaan wewe wa ajabu kwel kweli kwann ulinunua bila kuwa na malengo sahh. Huko tunakuita kukurupuka sasa fanya hv niuzie 7m ukanunue bajaj inatosha kwa utaliii hahahahahahaha kweli mjin mipango.Habari za mihangaiko wana jamvi nimejikusanya nimenunua land cruiser hard top sasa nataka niigeuze itumike kwenye kazi za utalii sasa sijui wapi wanafanya maboresho ili iwe ndefu kidogo kama zile zinazo onekana Arusha na kwa anayefahamu bei itakua msaada zaidi. Natanguliza shukrani.
Moshi na Arusha wanarekebisha ila andaa million kumi plusHabari za mihangaiko wana jamvi nimejikusanya nimenunua land cruiser hard top sasa nataka niigeuze itumike kwenye kazi za utalii sasa sijui wapi wanafanya maboresho ili iwe ndefu kidogo kama zile zinazo onekana Arusha na kwa anayefahamu bei itakua msaada zaidi. Natanguliza shukrani.
Acha dharau, kaomba msaada, either umsaidie kama huna msaada kwa kimywa.Yaan wewe wa ajabu kwel kweli kwann ulinunua bila kuwa na malengo sahh. Huko tunakuita kukurupuka sasa fanya hv niuzie 7m ukanunue bajaj inatosha kwa utaliii hahahahahahaha kweli mjin mipango.
Arusha na Moshi wanafanya hiyo kazi..Kampuni zinazojulikana sana ni Rajinder Motors (Moshi) Na Hanspaul(Arusha) Hizo kampuni bei zao ziko juu sana....kuna makampuni madogomadogo ambazo bei zao ziko chini kidogo....ila andaa sio chini ya mill 12Njoo arusha kuna kampuni inafanya hizo kazi za kutengeneza mabody kwa jina maarufu warbus hiyo kampuni inaitwa hanspaul ipo njiro na wamepewa kibali cha kufanya hizo na kampuni ya toyota
Sijakurupuka na sio kila kitu kitaenda sawa na mipango yakoYaan wewe wa ajabu kwel kweli kwann ulinunua bila kuwa na malengo sahh. Huko tunakuita kukurupuka sasa fanya hv niuzie 7m ukanunue bajaj inatosha kwa utaliii hahahahahahaha kweli mjin mipango.
Mkuu ulinunua Land cruiser Pick Up ama hiii iliyofunikwa?Asante ndugu zangu kwa maelekezo yenu
Umeridhika?Asante ndugu zangu kwa maelekezo yenu