baba nanihii
Member
- Nov 28, 2015
- 69
- 116
Habari za mihangaiko wana jamvi nimejikusanya nimenunua land cruiser hard top sasa nataka niigeuze itumike kwenye kazi za utalii sasa sijui wapi wanafanya maboresho ili iwe ndefu kidogo kama zile zinazo onekana Arusha na kwa anayefahamu bei itakua msaada zaidi. Natanguliza shukrani.