luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 846
- 1,394
Mkataba hii gari
Chuma hikiHabari wakuu
Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions
Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.
Mawasiliano zaidi 0710102811
View attachment 2543231
View attachment 2543232
View attachment 2543233
View attachment 2543234
View attachment 2543235
View attachment 2543236
One Ten 🔥🔥🔥🔥
🤣🤣👍👍Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
Haswaaaa... chuma hulali chaka hii.. kuna mwaraa hapa shinyanga nae anazitoa kama Bosco Arusha.. ni hatari mie nina kakipisi TDi.. pori linashika adabu na barabara zake 😅😅😅Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
Mpigie muongeee, maongezi yapo..Ila 35 pareef.
Hiz ni zile Tasaf?Habari wakuu
Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions
Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.
Mawasiliano zaidi 0710102811
View attachment 2543231
View attachment 2543232
View attachment 2543233
View attachment 2543234
View attachment 2543235
View attachment 2543236
Haswaaaa... chuma hulali chaka hii.. kuna mwaraa hapa shinyanga nae anazitoa kama Bosco Arusha.. ni hatari mie nina kakipisi TDi.. pori linashika adabu na barabara zake [emoji28][emoji28][emoji28]
A! Ikisha kula sport rims, ukafunga mdundo na smart screen[emoji848][emoji108][emoji7][emoji2956]Habari wakuu
Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions
Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.
Mawasiliano zaidi 0710102811
View attachment 2543231
View attachment 2543232
View attachment 2543233
View attachment 2543234
View attachment 2543235
View attachment 2543236
Mpigie muongeee, maongezi yapo..
Ila 35 pareef.
Lina AC??Habari wakuu
Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions
Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.
Mawasiliano zaidi 0710102811
View attachment 2543231
View attachment 2543232
View attachment 2543233
View attachment 2543234
View attachment 2543235
View attachment 2543236
Kama chuma ya dogo janja au kuna difenda anaendeza Mume wa Zamaradi ni balaaHiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena