Kama chuma ya dogo janja au kuna difenda anaendeza Mume wa Zamaradi ni balaa
Wachawi wako Arusha, wa kusuka tdi dar wakasome kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama chuma ya dogo janja au kuna difenda anaendeza Mume wa Zamaradi ni balaa
Hio sio NadiaLina AC??
Gharama zake kwa capital zone kuifanya iwe ya kisasa inaweza kuwa ngapiHabari wakuu
Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions
Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.
Mawasiliano zaidi 0710102811
View attachment 2543231
View attachment 2543232
View attachment 2543233
View attachment 2543234
View attachment 2543235
View attachment 2543236
Gharama zake kwa capital zone kuifanya iwe ya kisasa inaweza kuwa ngapi
Muone bosco designer hao capital wanasubiri
Hapo uandae kitu kama mill 5+Gharama zake kwa capital zone kuifanya iwe ya kisasa inaweza kuwa ngapi
Kumbe sio Bei Sana + 1m mzikisafiHapo uandae kitu kama mill 5+
Kumbe sio Bei Sana + 1m mzikisafi
Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
Unamiliki suzuki jimny mkuu?Nawakumbusha popote inapopita hio gari Suzuki jimny inapita