hahahha Mlinzi hatabasam hovyo bhanaHuu muundo wanaotaka kutengeneza haufai. Inawezekana vipi Defender ikawa ina tabasamu? Gari inatabasam? No way... Waache masikhara waweke body zile zile za zaman za sura ya kazi. Hayo matoy sisi hatutak. Wanataka gar zote ziwe za kidemu? Hawatutendei haki sisi wanaume wababe.
hii hata kutembelea mjini iko poa sanaHili yai kiainaView attachment 674607
2000 Land Rover Defender 147 - 7 Door, 11 Seater............ Body chuma Engine Chuma Kazi Kazi...Hii kali sana!seat ni watu kumi na moja,hii inafaa kwa watalii pia.View attachment 674608
Imeiva mno[emoji109][emoji109] Maisha yakupe nini tena ukimiliki hii mashine[emoji23][emoji23] just kiding!2000 Land Rover Defender 147 - 7 Door, 11 Seater............ Body chuma Engine Chuma Kazi Kazi...
Kuna msela miaka miwili ya nyuma alikuwa na huu mnyama, ameutunza huwezi sema umekula chumvi. Kama mpya vile. Very durable na ni punda Sana! πͺπΌView attachment 590109 kwangu mimi muundo huu naona ndio mzuri.
π π πHuu muundo wanaotaka kutengeneza haufai. Inawezekana vipi Defender ikawa ina tabasamu? Gari inatabasam? No way... Waache masikhara waweke body zile zile za zaman za sura ya kazi. Hayo matoy sisi hatutak. Wanataka gar zote ziwe za kidemu? Hawatutendei haki sisi wanaume wababe.
Hii mtaani wanapiga saluti ukidunda nalo, ni hapo waulizwa "vipi babu, uliingia lini jeshini" , au"uko likizo eh, naona mali ya umma hiyo "... Kudadadeki! π€£ π€£ π€£ π€£Hii ndioyenyewe mkongwe halisi au mwasemaje...?View attachment 674596
Ma PC wa kitambo (equivalent to RC huko Tz) ndio yalikuwa madude yao π€£Hili yai kiainaView attachment 674607
Vyuma vya kitambo hvyo navikubali sana.Ma PC wa kitambo (equivalent to RC huko Tz) ndio yalikuwa madude yao [emoji1787]