Land Rover Defender Tdi vs Land Cruiser 70 series

Land Rover Defender Tdi vs Land Cruiser 70 series

Defender ni gari nzuri lakini inapitwa na wakati sasa
Mkonga ndio habari ya mjini
Wajapan bado wanaizalisha na kuiongezea ubora

Hili neno ‘inapitwa na wakati’ nadhani limetumika mahali sipo. Defender imeboreshwa sana tu ukianzia na zile zenye engine ya PUMA ila sidhani kama ina uimara kama ule wa zamani. Defender latest bei yake ni msala na si rahisi uinunue uitumie kwa shughuli za pori kama zamani. Imekuwa luxury zaidi, umeme mwingi n.k
 
ZD 30 hamna kitu. Itakupa power na fuel consumption nzuri kidogo kulinganisha na TF 42 ila usitarajie reliability ya TD42 hata kidogo. TD42 ni 1HZ ya Nissan
Zipo aina kama tatu hivi zile za umeme na hizi za kawaida mimi ipo kwenye Nissan Patrol pick up ya 2014 made ya SA ina nguvu sana ile gari na sijawahi kugusa kitu chochote na sitegemei kufanya hicho karibuni ipo mbeya huko kazi za porini inafanya vizuri...
 
Hili neno ‘inapitwa na wakati’ nadhani limetumika mahali sipo. Defender imeboreshwa sana tu ukianzia na zile zenye engine ya PUMA ila sidhani kama ina uimara kama ule wa zamani. Defender latest bei yake ni msala na si rahisi uinunue uitumie kwa shughuli za pori kama zamani. Imekuwa luxury zaidi, umeme mwingi n.k

Mkuu nimemaanisha specifically defender tdi zinazotumika bongo haswa kweny utalii ni zile ambazo hazizalishwi tena mwisho ilikua 2016
Lakini 70 series mjapan anaendele kuzifyatua tu

Hayo ma defender new model hayawezi mikimiki

Defender za zamani bado zinatengenezwa ila kwa special order haswa na majeshi
 
Uchawi wa off road upo kwenye bush na bearing.
Mambo ya trip moja shamba ukirudi garage hamna mtu anataka hiyo biashara kichaa.
Hahahahah halafu unakuta spare zake bei ni mara 2 ya spare za Land Cruiser hapo ndipo maaskari walipoona kuwa acha LR zibaki kwa ma RTO tu 🤣🤣🤣 ambao hawana kashi kashi sana. Wao ni mwendo wa 1HZ tu haina mbambamba.

Sema hadi leo najiuliza kwanini Toyota hawakutoa hizi Landcruiser 70 zenye 1HDT engine. Maana ile engine iko more powerful na ina speed zaidi hata milimani.
 
ZD 30 hamna kitu. Itakupa power na fuel consumption nzuri kidogo kulinganisha na TF 42 ila usitarajie reliability ya TD42 hata kidogo. TD42 ni 1HZ ya Nissan
TD42 ni balaa sema kuna wadau wanasema huwa zina tabia ya kuchemsha ukikanyanga sana.

Ila Nissan zina shock up nzuri sana. Zinanesa balaa. Ni nzuri sana kwenye barabara za changarawe
 
Hahahahah halafu unakuta spare zake bei ni mara 2 ya spare za Land Cruiser hapo ndipo maaskari walipoona kuwa acha LR zibaki kwa ma RTO tu 🤣🤣🤣 ambao hawana kashi kashi sana. Wao ni mwendo wa 1HZ tu haina mbambamba.

Sema hadi leo najiuliza kwanini Toyota hawakutoa hizi Landcruiser 70 zenye 1HDT engine. Maana ile engine iko more powerful na ina speed zaidi hata milimani.
Nadhani waliamua kuacha 1hz kwa sababu ni engine ngumu ya kazi. Haina mwendo lakini unafika popote bila wasiwasi.
Halafu pia ni rahisi kutengeneza hata ikiwa imeharibika huko pori
 
Hahahahah halafu unakuta spare zake bei ni mara 2 ya spare za Land Cruiser hapo ndipo maaskari walipoona kuwa acha LR zibaki kwa ma RTO tu 🤣🤣🤣 ambao hawana kashi kashi sana. Wao ni mwendo wa 1HZ tu haina mbambamba.

Sema hadi leo najiuliza kwanini Toyota hawakutoa hizi Landcruiser 70 zenye 1HDT engine. Maana ile engine iko more powerful na ina speed zaidi hata milimani.
Nadhani issue kubwa ilikua Turbo na marketing policy, 1HDT ikae kwenye VX na Luxury Coaster
 
Hahahahah halafu unakuta spare zake bei ni mara 2 ya spare za Land Cruiser hapo ndipo maaskari walipoona kuwa acha LR zibaki kwa ma RTO tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ambao hawana kashi kashi sana. Wao ni mwendo wa 1HZ tu haina mbambamba.

Sema hadi leo najiuliza kwanini Toyota hawakutoa hizi Landcruiser 70 zenye 1HDT engine. Maana ile engine iko more powerful na ina speed zaidi hata milimani.

Zipo hata zenye mashine V8 ila si soko la huku. Lakini hizo engine nyingine sidhani kama zinakupa balance ya reliability, power (hasa torque) na fuel consumption kama 1HZ. Kwa ujumla 1HZ ni sawa kwa mazingira ya kazi na pori
 
Mkuu Vp kuhusu Nissan patrol y61 maarafu kama Nissan nyeupe TD42
Hii chuma hata nikipata pesa leo nitaimiliki tena, hii chuma naikubali mnooo, ni shida tu ikabidi niisukume.. ukiitekenya inavyounguruma, unaipa kidonge, chuma ikikolea moto inanesa tu, njia safi, ya vumbi twende tu. Engine ngumu ile, natoka tabora nipo moro ikazima ghafla kwenye tuta,ikagoma kuwaka, kumbe rejeta ilitoboka inavujisha maji, nikajua sasa engine nimeuwa, mikono kichwani nawaza, nainyea wapi mimi pesa ya kununua td42 kipindi hiko.. fundi kuja kaicheki,akasema tusubiri tu ipoe, tukajaza maji, kupiga jino moja, ikawa tunaenda umbali fulani tunajaza maji, mpaka naipata dar nilijaza maji kama mara 2 hivi.

Unaacha kitu huku unakipenda basi ni hii gari, nikiiona njiani nakumbuka mbali na sononeko linakuja kiaina.
 
Nissan y61 ipo vizuri.

Hizi gari kila moja ina sifa yake Land Rover fuel consumption, Land Cruiser Reliability na Nissan Patrol ina stability kubwa.
Hizo nyingine sijawahi zigusa.. japo huwa naitamani saana 70 ile ya souble cabin sijui ni 70 ile au 78 ama 79.. naitamani mnoo.

Ila y61 td42, ile chuma naikubali na naimisi mnoo, ile gari nakosa maneno ya kuisifia.
 
Hahahahah halafu unakuta spare zake bei ni mara 2 ya spare za Land Cruiser hapo ndipo maaskari walipoona kuwa acha LR zibaki kwa ma RTO tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ambao hawana kashi kashi sana. Wao ni mwendo wa 1HZ tu haina mbambamba.

Sema hadi leo najiuliza kwanini Toyota hawakutoa hizi Landcruiser 70 zenye 1HDT engine. Maana ile engine iko more powerful na ina speed zaidi hata milimani.
70 series is not made for speed.

It's made to work in tough terrain.
 
Hahahahah halafu unakuta spare zake bei ni mara 2 ya spare za Land Cruiser hapo ndipo maaskari walipoona kuwa acha LR zibaki kwa ma RTO tu 🤣🤣🤣 ambao hawana kashi kashi sana. Wao ni mwendo wa 1HZ tu haina mbambamba.

Sema hadi leo najiuliza kwanini Toyota hawakutoa hizi Landcruiser 70 zenye 1HDT engine. Maana ile engine iko more powerful na ina speed zaidi hata milimani.
Ni delicate sana nadhani kwenye ishu ya TURBO mjepu alichochora.ila 1HZ man ni durable kichizi ila power haina kivile.nilisikia tetesi 1hz zipo zina TURBO.
 
Hii chuma hata nikipata pesa leo nitaimiliki tena, hii chuma naikubali mnooo, ni shida tu ikabidi niisukume.. ukiitekenya inavyounguruma, unaipa kidonge, chuma ikikolea moto inanesa tu, njia safi, ya vumbi twende tu. Engine ngumu ile, natoka tabora nipo moro ikazima ghafla kwenye tuta,ikagoma kuwaka, kumbe rejeta ilitoboka inavujisha maji, nikajua sasa engine nimeuwa, mikono kichwani nawaza, nainyea wapi mimi pesa ya kununua td42 kipindi hiko.. fundi kuja kaicheki,akasema tusubiri tu ipoe, tukajaza maji, kupiga jino moja, ikawa tunaenda umbali fulani tunajaza maji, mpaka naipata dar nilijaza maji kama mara 2 hivi.

Unaacha kitu huku unakipenda basi ni hii gari, nikiiona njiani nakumbuka mbali na sononeko linakuja kiaina.
Asee kumbe hizi gari ni roho ya paka!
Vp kuhusu mwendo?!
 
Back
Top Bottom