Landlocked umepakana na nchi isiyochangamka kama Tanzania, utafanyaje?

Landlocked umepakana na nchi isiyochangamka kama Tanzania, utafanyaje?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliyolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lakini they are not good in management, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa?
 
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lkn they are dumb, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa?
Wanakuchelewesha kivipi,ukiwalinganisha na nani?
 
Kuunda vikundi vya kigaidi vitakavyokuwa vinaiba mali na kuniletea mimi 🧐
 
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lkn they are dumb, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa?
Jama ukaishi kongo, somalia au sudan nafasi unayo, tuache na T.Z yetu.
 
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lkn they are dumb, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa?
Umesema ukweli sana! Tanzania ni ya hovyo sana. Ccm na mwenge? Nchi kibao zinatutegemea ila tunawaangusha sana!
 
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lkn they are dumb, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa?
Huna haja ya kumuamsha aliyelala. Wewe Hamia kwenye nchi iliyoku-block au jirani yake kama ana bandari.
 
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliyolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lakini they are not good in management, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa?
Kuimarisha huduma ya anga, ardhi kupitia reli na barabara kama kuna njia ya kuchepukia kwenda nchi unazo kusudia.

Ila huduma ya bahari ina faida sana kama ikitumiwa vizuri.


Hizi huduma nyingine kama anga, barabara na reli zinahitaji mahesabu makali kweli.
 
Huna haja ya kumuamsha aliyelala. Wewe Hamia kwenye nchi iliyoku-block au jirani yake kama ana bandari.
Wote hatuchagui tuzaliwe wapi ni kama karata unalamba na kuchukuwa unachopata, sasa kama karata yako uliyolamba ni landlocked na umezungukwa na wenye access na bahari lakini they are not good in management, kwa maneno mengine wanakuchelewesha kwani unawategemea kwa outside trade, utafanya nini?

Which options do you have kama wanakulaza njaa.

Kama ni nchi kama Tanzania basi hagua Amiri Jeshi mkuu kama Majaliwa au Lisu au Mwabukusi au Mwakyembe au Mpina au Gwajima. Peleka VIJANA wenye Elimu ya Kati wakajifunze kwenye nchi zzilizofanikiwa kwenye Bandari .
Kisha AJIRI VIJANA WAZALENDO NA UWEKE MSIMAMIZI MZALENDO KAMA Polepole au Paulo Makonda au John Heche.

Punguza Kodi na Weka ushindani wa ufanisi kwenye Bandari za Mtwara ,Tanga,Dsm na Mtwara. Toa bonas na zawadi Kwa watakaofanya Kazi Kwa ufanisi na Kwa haraka na kuongeza mapato.
Achana na Imani ya kuuza Bandari na kugawana mapesa na Wageni wakati watu wako wanakosa ajira.
 
Ningezaliwa Landlocked country ningepambana kwa hali na mali nihamie nchi yenye Bahari.
Napenda Bahari.
 
Kama ni nchi kama Tanzania basi hagua Amiri Jeshi mkuu kama Majaliwa au Lisu au Mwabukusi au Mwakyembe au Mpina au Gwajima. Peleka VIJANA wenye Elimu ya Kati wakajifunze kwenye nchi zzilizofanikiwa kwenye Bandari .
Kisha AJIRI VIJANA WAZALENDO NA UWEKE MSIMAMIZI MZALENDO KAMA Polepole au Paulo Makonda au John Heche.

Punguza Kodi na Weka ushindani wa ufanisi kwenye Bandari za Mtwara ,Tanga,Dsm na Mtwara. Toa bonas na zawadi Kwa watakaofanya Kazi Kwa ufanisi na Kwa haraka na kuongeza mapato.
Achana na Imani ya kuuza Bandari na kugawana mapesa na Wageni wakati watu wako wanakosa ajira.
Power corrupts. Tukikupa uraisi wa Tanzania leo, kesho hayo yote uliyoyandika hapa utayasahau na kuanza kufisadi kodi zetu.
Halafu kumsomesha mtanzania ukitegemea kwamba atakapo hitimu masomo yake atakuja kuisaidia nchi yake, sahau. Kwa kuwa wakirudi kutoka masomoni kazi yao kubwa ni kufisadi, kujitajirisha yeye na familia yake. Ni kama walienda kusomea ufisadi.
 
Kama ni nchi kama Tanzania basi hagua Amiri Jeshi mkuu kama Majaliwa au Lisu au Mwabukusi au Mwakyembe au Mpina au Gwajima. Peleka VIJANA wenye Elimu ya Kati wakajifunze kwenye nchi zzilizofanikiwa kwenye Bandari .
Kisha AJIRI VIJANA WAZALENDO NA UWEKE MSIMAMIZI MZALENDO KAMA Polepole au Paulo Makonda au John Heche.

Punguza Kodi na Weka ushindani wa ufanisi kwenye Bandari za Mtwara ,Tanga,Dsm na Mtwara. Toa bonas na zawadi Kwa watakaofanya Kazi Kwa ufanisi na Kwa haraka na kuongeza mapato.
Achana na Imani ya kuuza Bandari na kugawana mapesa na Wageni wakati watu wako wanakosa ajira.
Hadi keshokutwa bado najiuliza kitu gani kinafanya watu wamuone K anafaa kuwa namba 1?

Ni mzuri kwenye kuongea huku amekaza uso, ila hana mikakati ya kiuongozi,

Nikumbushe,ni jambo gani amelisamia ipasavyo na likaleta matokeo chanya toka awe msimamizi..!
 
Back
Top Bottom