Ile starlet vipi ushachukuliwa..? Kuna mtu jioni hii alikuwa aliniulizia ana 4.0 m
LANDLOVER mzee?
Mkuu hii naona kama Landlover Defender 110 hii sio kama ile inayo tafutwa ya kizamani 109.
bado sijajua kwa nini hili gari linauzwa mil 4.5, but why!?, mbona mi naona hali yake mbaya sana? Au ni macho yangu.
Embu nisaidieni,
b.