Landrover 09 (marufu rover ya Nyerere) na land rover discovery za sasa wapi watengenezaji wanakosea nahisi kutafta tena 09

Landrover 09 (marufu rover ya Nyerere) na land rover discovery za sasa wapi watengenezaji wanakosea nahisi kutafta tena 09

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nipo tayari kuitwa mshamba, nimezaliwa nimeikuta landrover 09 na hadi Leo IPO kule kijijini, lakini landrover discovery, defender ni mbovu sana trip pori trip gereji wapi watengenezaji wanakosea sasa, kifupi napenda brand najiona kutafta rover 09 tena siku za usoni, wapi ntakuwa nimekosea
 
Kwani kuna gari isiyoaribika? Gari ni matunzo kikubwa we nunua gari unayoipenda
 
Nipo tayari kuitwa mshamba, nimezaliwa nimeikuta landrover 09 na hadi Leo IPO kule kijijini, lakini landrover discovery, defender ni mbovu sana trip pori trip gereji wapi watengenezaji wanakosea sasa, kifupi napenda brand najiona kutafta rover 09 tena siku za usoni, wapi ntakuwa nimekosea
Jana landrover 109 ilifeli break ikapinduka vibaya mno ila haikuua.,hizi defender naona mtengenezaji kuna kitu alikosea maana hata serikali yetu na mashirika mbalimbali ya kitaifa na kimataifa walisitisha matumizi ya hizi gari wakahamia ktk landcruiser mkonga
images.jpg

View attachment 1695748
 
Back
Top Bottom