LANDROVER 110 - 300 SERIES INAHITAJIKA!!!

Mawio

Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
54
Reaction score
23
Wakuu, salaam!!!..

Ninahitaji Landrover 110 - 300 Series, iwe station wagon, van, pickup n.k ili mradi iwe katika hali nzuri.

Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790

Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni tatu kamili (3,000,000/=) Pesa za Ki-Tanzania.

Kama una bodi pekee pia tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo.

Shukrani.
 
Ongeza ongeza kidogo.. Kuna jamaa wanazo.
 
Ongeza ongeza kidogo.. Kuna jamaa wanazo.

Mkuu Mgibeon, si unajua tena mambo yalivyokaza Mkuu, natafuta hio kwa ajili ya kazi za shamba Mkuu!!!..

Cheers,

πŸ™‚πŸ™‚!!!..
 
Mkuu Mgibeon, si unajua tena mambo yalivyokaza Mkuu, natafuta hio kwa ajili ya kazi za shamba Mkuu!!!..

Cheers,

πŸ™‚πŸ™‚!!!..
Ngoja nipitie kule halafu nitakupa feedback.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…