Mkuu hadi sasa tangu June Mwaka Jana... Nimekutana na hayo Magari zaidi ya Sita yote yakiwa yanaungua Barabarani... Moja pale Kawe karibu na NHC project Matatu njia ya Dar-Mbeya, Mawili njia ya Dar-ArushaMpaka sasa umeona reports ngapi za hayo magari kuungua hapa Tz?
Una Nyota ya Moto wewe, Sio bure, haiwezekani ukutane na gari 6 zikiungua kwa kipindi cha miezi 9.Mkuu hadi sasa tangu June Mwaka Jana... Nimekutana na hayo Magari zaidi ya Sita yote yakiwa yanaungua Barabarani... Moja pale Kawe karibu na NHC project Matatu njia ya Dar-Mbeya, Mawili njia ya Dar-Arusha
Aiseee mpaka nineshangaa kwanini sijawahi kukijua hiki kitu wakati mpaka LR wenyewe walishafanya recall ya gari kibao aina ya Land Rover Discovery 4 kuanzia 2010 mpaka 2016 na Range Rover Sport kuanzia 2010 mpaka 2013.Salaam Wadau,
Kama kichwa kinavyojieleza, kumekuwa na mfululizo wa hayo Magari kwa hapa Bongo(TZ) kuteketea kwa Moto(Kuungua). Tatizo ni nini? Binafsi nimepoteza sana Mvuto na hayo Magari.
Wataalam kina JituMirabaMinne toeni maoni. View attachment 2166473
Ukisema tu ulikuwa ni wewe kuna shida gani mzeee πππNilishuhudia Disco 4(HSE) ikiungua mwaka 2016 wkt wananchi wanataka kuiokoa Gari kwa michanga/maji mwenye Gari akasema nahitaji kuokoa briefcase yangu tu humo garini.Walifanikiwa kuitoa hio briefcase,then akawaambia wananchi acheni hio Gari msihangaike kuizima Moto(Jamaa akachukua video kidogo kwa kutumia simu,then akapiga Simu).
Gari iliteketea ikaisha,baadae akaja mwanamke flani na Prado ZX akambeba msela wakasepa zao.
[emoji16][emoji16][emoji16] aiseee mkuu,mimi Nilikua mpambe wa kusaidia kuzima gari ya Watu na michanga tukaishia kuambiwa tu 'msijali gari linaweza kutafutwa jingine Kitu Cha msingi ni usalama wenu tu.'Ukisema tu ulikuwa ni wewe kuna shida gani mzeee [emoji3][emoji3][emoji3]
Usalama huku kawatuma watu wakachukue mkoba wake... ππππ pesa nzuri angekuwa gari ya mkopo angepambana aizime kwa kila namna[emoji16][emoji16][emoji16] aiseee mkuu,mimi Nilikua mpambe wa kusaidia kuzima gari ya Watu na michanga tukaishia kuambiwa tu 'msijali gari linaweza kutafutwa jingine Kitu Cha msingi ni usalama wenu tu.'
[emoji16][emoji16][emoji16] wale wazee wa third party insurance ndio tunapambanaga na michanga na maji.Usalama huku kawatuma watu wakachukue mkoba wake... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] pesa nzuri angekuwa gari ya mkopo angepambana aizime kwa kila namna
Hii case ni Kwa matoleo ya kutumia Diesel au PetrolAiseee mpaka nineshangaa kwanini sijawahi kukijua hiki kitu wakati mpaka LR wenyewe walishafanya recall ya gari kibao aina ya Land Rover Discovery 4 kuanzia 2010 mpaka 2016 na Range Rover Sport kuanzia 2010 mpaka 2013.
Main reason inaonekana ni Ile Flange ya kwenye fuel tank ambayo ndio inakuwa na inlet waya za umeme na outlet ya mafuta huwa ina crack au seal kufa over time na hivyo mafuta kuanza kuvuja.
Shida inakuja pale mtu anapochelewa kunotice.
Ndo mwisho wa siku gari inaishia kwenye moto.
Angalia video hiyo.
Mimi nimeona matatu njia ya ununio tena maeneo ya machimbo ya chumvi.Mkuu hadi sasa tangu June Mwaka Jana... Nimekutana na hayo Magari zaidi ya Sita yote yakiwa yanaungua Barabarani... Moja pale Kawe karibu na NHC project Matatu njia ya Dar-Mbeya, Mawili njia ya Dar-Arusha
Yawezekana Ilikuwa ina vuja mafuta,
Au Ilikuwa na shida ya umeme,
Pia gari kupata joto
Hayo mambo 3 husababisha gari kuwaka moto
Ova