Mwezi huu zimekuja ngapi?Tayari hii hapa imeshafika. [emoji23][emoji23]
Kilio mtakachotoa hamtaamini... Na wasi wasi na ule mkopo wa USD 3.4billion za kujenga SGR kulikuwa na some kind of collateral...na ndio maana saiv anaringa kuwakopesha tena kuendeleza...ikabidi awapeleke no where kwanza chaka..huku akisema mapato ya SGR hayatoshi..vita ya SGR na malori on cargo freight..aah mara Msa port inakwenda hivyo...si ndio collateral!? Ndio mnapigiwa pambio la lamu transshipment kumbe ndio mnakuwa na hiyo lamu yenu kama port ya msimbati na mkilishwa na bandari ya mchina Msa. View attachment 1283089
Usijisumbue kuwajibu...waulize ndani ya huu mwaka zimekuja mara ngapiWacheni comedy. Meli ya 255 metres sio post panamax. Ambia huyo mwandishi wa habari arudi shule. Ingekuwa 400 metres ndio ningeshtuka
Hapa hata tanzania lazima mtaitumia tu, mtakua mnakujia mizigo yenu lamu kw kutumia vi meli vidogo vidogoKwa maana hiyo Wakenya wanataka kuhakikisha amani haipo baina ya Ethiopia na Eritrea na Sudan Kusini na Kaskazini ili bandari ya Lamu ifanikiwe kufanya kazi tarajiwa?
Labda ni sababu hizohizo za kiuchumi Kenya haitaki Somalia iishi kwa amani?
True...jamaa wakufuata upepo tu hawa, yani hawna tofauti na benderaThey suffer from the Allegory of CCM
Tatizo maswali yako hayana akili kabisa, hivi hilo swali linamaana gani kama kweli unatumia akili?. Hivi unajua biashara kweli wewe?. Hivi kama mwezi huu zimekuja 10 lakini mwezi ujao zikafika 2, hilo swali lako linamaana gani?, acha ujinga wa kuuliza maswali yasiokuwa na maana, sisi sio wakenya wasio tumia akili badala yake mnatukanana kila siku. Kujua kwamba biashara ni nzuri au mbaya, lazima isiwe chini ya mwaka mmoja, wewe unauliza kuhusu mwezi mmoja, jinga sana wewe.Usijisumbue kuwajibu...waulize ndani ya huu mwaka zimekuja mara ngapi
Usikwepe swali kw kujitia ujuaji mwingi, post panamax unafikiria oman kw mwezi zina dock mara ngapi.Tatizo maswali yako hayana akili kabisa, hivi hilo swali linamaana gani kama kweli unatumia akili?. Hivi unajua biashara kweli wewe?. Hivi kama mwezi huu zimekuja 10 lakini mwezi ujao zikafika 2, hilo swali lako linamaana gani?, acha ujinga wa kuuliza maswali yasiokuwa na maana, sisi sio wakenya wasio tumia akili badala yake mnatukanana kila siku. Kujua kwamba biashara ni nzuri au mbaya, lazima isiwe chini ya mwaka mmoja, wewe unauliza kuhusu mwezi mmoja, jinga sana wewe.
Tatizo umekurupuka...soma hapo juu, unaona nimeuliza mwezi mmoja hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Usijisumbue kuwajibu...waulize ndani ya huu mwaka zimekuja mara ngapi
Tatizo maswali yako hayana akili kabisa, hivi hilo swali linamaana gani kama kweli unatumia akili?. Hivi unajua biashara kweli wewe?. Hivi kama mwezi huu zimekuja 10 lakini mwezi ujao zikafika 2, hilo swali lako linamaana gani?, acha ujinga wa kuuliza maswali yasiokuwa na maana, sisi sio wakenya wasio tumia akili badala yake mnatukanana kila siku. Kujua kwamba biashara ni nzuri au mbaya, lazima isiwe chini ya mwaka mmoja, wewe unauliza kuhusu mwezi mmoja, jinga sana wewe.
Wewe onyesha Mombasa zimedock ngapi ndani ya wiki moja?Usikwepe swali kw kujitia ujuaji mwingi, post panamax unafikiria oman kw mwezi zina dock mara ngapi.
Sasa kuwaonyesha km huyo aliyeandika hyo habari ni pimbi, tuonyeshe hapa tangu mwezi wa sita zine dock ngapi...simple
Hapa hata tanzania lazima mtaitumia tu, mtakua mnakujia mizigo yenu lamu kw kutumia vi meli vidogo vidogo
Bagamoyo uliiona haifaiw we na nani?
Mkataba uliuonea wapi km unawaumiza?
Na mbna mchina kapinga madai yenu?
Mpka sai kuna mizigo ya tz inapitia mombasa halafu unajitia unajua sana...
ONLY IN TANZANIA
Nipatie link ya mkataba nikajisomee
Usilie basiIkifika hata Panamax moja hapo Lamu, Mimi ninabadili kabila langu, ninatakua Mjaluo, acheni kujiliwaza hiyo bandari ni choo cha kike. " 110% very big and fat white elephant "
Santa sana..naona sasa umedunga high gear...weka na turbo kabisa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Wewe onyesha Mombasa zimedock ngapi ndani ya wiki moja?
Naomba link ya mkataba wa SGR ya Kenya nikajisomeeNipatie link ya mkataba nikajisomee
Turbo hii hapaSanta sana..naona sasa umedunga high gear...weka na turbo kabisa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Santa sana kw kudhihirisha ujinga wako[emoji122][emoji122]siku nyngine uwache kuunga mkono kila kotuNaomba link ya mkataba wa SGR ya Kenya nikajisomee
Maintain kw 90mph, utafika chato kw mda mfupi sanaTurbo hii hapa
Hey, take a slowly breath... Hiyo ni ngalawa au Panamax? And that was 2015 kabla ya maboresho..na RoRo haikuwepo. Naomba uniambie Msa port kilitua lini chombo cha size hiyo.Wacheni comedy. Meli ya 255 metres sio post panamax. Ambia huyo mwandishi wa habari arudi shule. Ingekuwa 400 metres ndio ningeshtuka
Dar port kw msa ni sawa ulinganishe kenge na mbuziHey, take a slowly breath... Hiyo ni ngalawa au Panamax? And that was 2015 kabla ya maboresho..na RoRo haikuwepo. Naomba uniambie Msa port kilitua lini chombo cha size hiyo.
You're doom as a nation...total failed state.