LAPSSET yaonesha dalili zote za kuwa 'White elephant '

LAPSSET yaonesha dalili zote za kuwa 'White elephant '

Tayari hii hapa imeshafika. [emoji23][emoji23]
Kilio mtakachotoa hamtaamini... Na wasi wasi na ule mkopo wa USD 3.4billion za kujenga SGR kulikuwa na some kind of collateral...na ndio maana saiv anaringa kuwakopesha tena kuendeleza...ikabidi awapeleke no where kwanza chaka..huku akisema mapato ya SGR hayatoshi..vita ya SGR na malori on cargo freight..aah mara Msa port inakwenda hivyo...si ndio collateral!? Ndio mnapigiwa pambio la lamu transshipment kumbe ndio mnakuwa na hiyo lamu yenu kama port ya msimbati na mkilishwa na bandari ya mchina Msa. View attachment 1283089
Mwezi huu zimekuja ngapi?
 
Wacheni comedy. Meli ya 255 metres sio post panamax. Ambia huyo mwandishi wa habari arudi shule. Ingekuwa 400 metres ndio ningeshtuka
Usijisumbue kuwajibu...waulize ndani ya huu mwaka zimekuja mara ngapi
 
Kwa maana hiyo Wakenya wanataka kuhakikisha amani haipo baina ya Ethiopia na Eritrea na Sudan Kusini na Kaskazini ili bandari ya Lamu ifanikiwe kufanya kazi tarajiwa?

Labda ni sababu hizohizo za kiuchumi Kenya haitaki Somalia iishi kwa amani?
Hapa hata tanzania lazima mtaitumia tu, mtakua mnakujia mizigo yenu lamu kw kutumia vi meli vidogo vidogo
 
Usijisumbue kuwajibu...waulize ndani ya huu mwaka zimekuja mara ngapi
Tatizo maswali yako hayana akili kabisa, hivi hilo swali linamaana gani kama kweli unatumia akili?. Hivi unajua biashara kweli wewe?. Hivi kama mwezi huu zimekuja 10 lakini mwezi ujao zikafika 2, hilo swali lako linamaana gani?, acha ujinga wa kuuliza maswali yasiokuwa na maana, sisi sio wakenya wasio tumia akili badala yake mnatukanana kila siku. Kujua kwamba biashara ni nzuri au mbaya, lazima isiwe chini ya mwaka mmoja, wewe unauliza kuhusu mwezi mmoja, jinga sana wewe.
 
Tatizo maswali yako hayana akili kabisa, hivi hilo swali linamaana gani kama kweli unatumia akili?. Hivi unajua biashara kweli wewe?. Hivi kama mwezi huu zimekuja 10 lakini mwezi ujao zikafika 2, hilo swali lako linamaana gani?, acha ujinga wa kuuliza maswali yasiokuwa na maana, sisi sio wakenya wasio tumia akili badala yake mnatukanana kila siku. Kujua kwamba biashara ni nzuri au mbaya, lazima isiwe chini ya mwaka mmoja, wewe unauliza kuhusu mwezi mmoja, jinga sana wewe.
Usikwepe swali kw kujitia ujuaji mwingi, post panamax unafikiria oman kw mwezi zina dock mara ngapi.

Sasa kuwaonyesha km huyo aliyeandika hyo habari ni pimbi, tuonyeshe hapa tangu mwezi wa sita zine dock ngapi...simple
 
Usijisumbue kuwajibu...waulize ndani ya huu mwaka zimekuja mara ngapi
Tatizo umekurupuka...soma hapo juu, unaona nimeuliza mwezi mmoja hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Tatizo maswali yako hayana akili kabisa, hivi hilo swali linamaana gani kama kweli unatumia akili?. Hivi unajua biashara kweli wewe?. Hivi kama mwezi huu zimekuja 10 lakini mwezi ujao zikafika 2, hilo swali lako linamaana gani?, acha ujinga wa kuuliza maswali yasiokuwa na maana, sisi sio wakenya wasio tumia akili badala yake mnatukanana kila siku. Kujua kwamba biashara ni nzuri au mbaya, lazima isiwe chini ya mwaka mmoja, wewe unauliza kuhusu mwezi mmoja, jinga sana wewe.
 
Usikwepe swali kw kujitia ujuaji mwingi, post panamax unafikiria oman kw mwezi zina dock mara ngapi.

Sasa kuwaonyesha km huyo aliyeandika hyo habari ni pimbi, tuonyeshe hapa tangu mwezi wa sita zine dock ngapi...simple
Wewe onyesha Mombasa zimedock ngapi ndani ya wiki moja?
 
Ikifika hata Panamax moja hapo Lamu, Mimi ninabadili kabila langu, ninatakua Mjaluo, acheni kujiliwaza hiyo bandari ni choo cha kike. " 110% very big and fat white elephant "
Hapa hata tanzania lazima mtaitumia tu, mtakua mnakujia mizigo yenu lamu kw kutumia vi meli vidogo vidogo
 
Wacheni comedy. Meli ya 255 metres sio post panamax. Ambia huyo mwandishi wa habari arudi shule. Ingekuwa 400 metres ndio ningeshtuka
Hey, take a slowly breath... Hiyo ni ngalawa au Panamax? And that was 2015 kabla ya maboresho..na RoRo haikuwepo. Naomba uniambie Msa port kilitua lini chombo cha size hiyo.

You're doom as a nation...total failed state.
 
Hey, take a slowly breath... Hiyo ni ngalawa au Panamax? And that was 2015 kabla ya maboresho..na RoRo haikuwepo. Naomba uniambie Msa port kilitua lini chombo cha size hiyo.

You're doom as a nation...total failed state.
Dar port kw msa ni sawa ulinganishe kenge na mbuzi
 
Back
Top Bottom