LAPSSET yaonesha dalili zote za kuwa 'White elephant '

LAPSSET yaonesha dalili zote za kuwa 'White elephant '

Port zenu bado hazijakamilika. Yetu berth 1 ishakamilika. Mko nyuma kwa kila kitu. Ilianza na Sgr na sasa ni port.
Tony254, acha kutetea poor planning ya GoK, hiyo Lamu Port imeanzishwa chini ya LAPSSET, maana yake lengo kubwa lilikua ni kuzilenga nchi za Ethiopia na SouthSudan, baada ya mabadiliko yaliyotokea, sasa hivi mnataka kuhalalisha " Failure " yenu na kuhamisha " Goal post".

Swali, kama mlilenga "Transhipment", kwanini imeitwa LAPSSET?. Tanzania tulipogundua kwamba Bagamoyo port haitokuwa na maslahi kwa nchi na watanzania, tuliamua kusimamisha hiyo " project ", hata Bagamoyo port pia kulikuwa na Maneno hayo hayo ya, Transhipment", lakini kwa hali halisi, Afrika kwa ujumla haina " Cargo" ya kutosha kwa "Transhipment business", hata South Afrika bado hakuna mzigo wa kutosha kwasasa.

Kenya kujenga bandari " specifically " for transhipment " ni sawa na kujenga uwanja wa ndege maalumu kwa watalii wanaotumia "charter planes" ni ukichaa wa hali ya juu.
 
The Only white Elephant I know is the Central Corridor
 
Dar n Djibouti ports zipo pia at advanced stage kufanya transhipment in simply forget about serving Tanzania my friend! So far that LAPSSET project has spent around $300mln to build a port from scratch! Compare that to $214 mln expansion to an already existing port at Mtwara! Muache ujinga wa ku-compare apples to oranges! JPM is real and won't let that to happen, yet after investing $1 bln for expansion of these 3 ports!



0oAsLZf.jpg


7U9S9Nq.jpg


hZoPm6S.jpg

Aerial photos please 😂😂😂😂
 
Tony254, acha kutetea poor planning ya GoK, hiyo Lamu Port imeanzishwa chini ya LAPSSET, maana yake lengo kubwa lilikua ni kuzilenga nchi za Ethiopia na SouthSudan, baada ya mabadiliko yaliyotokea, sasa hivi mnataka kuhalalisha " Failure " yenu na kuhamisha " Goal post".

Swali, kama mlilenga "Transhipment", kwanini imeitwa LAPSSET?. Tanzania tulipogundua kwamba Bagamoyo port haitokuwa na maslahi kwa nchi na watanzania, tuliamua kusimamisha hiyo " project ", hata Bagamoyo port pia kulikuwa na Maneno hayo hayo ya, Transhipment", lakini kwa hali halisi, Afrika kwa ujumla haina " Cargo" ya kutosha kwa "Transhipment business", hata South Afrika bado hakuna mzigo wa kutosha kwasasa.

Kenya kujenga bandari " specifically " for transhipment " ni sawa na kujenga uwanja wa ndege maalumu kwa watalii wanaotumia "charter planes" ni ukichaa wa hali ya juu.
Nikikueleza kuwa tulipanga Lamu port ipeleke mizigo Ethiopia na South Sudan lakini mipango hiyo itachelewa kidogo kwa hivyo inabidi port yenyewe ijengwe kubwa sana spesheli ya kufanya transshipment business across East Africa pengine ndio utanielewa. Yaani wakati unaplan sio lazima kila kitu kifanyike unavyotaka, mambo yakibadilika pia nyinyi mnabadilisha plan. Hivyo ndivyo mtu mwerevu anavyofanya mambo, sio kuganda na ile plan ya awali hata kama mambo yamebadilika. Mjifunze na Kenya, muwache kuwa na akili mgando. Mambo yakibadilika pia sisi tunabadilika. Sasa hivi tunaongea kuhusu transshipment. Lapsset haijakufa lakini itachukua muda mrefu kukamilika kwani barabara kutoka Lamu hadi Isiolo ndio sasa inajengwa. Itachukua miaka mitatu au zaidi kwa hiyo barabara na Infrastructure zingine kukamilika. Kutoka Isiolo hadi Moyale barabara ishakamilika na mimi mwenyewe nilitumia hiyo barabara nilipokuwa naenda Ethiopia.
 
Tony254, acha kutetea poor planning ya GoK, hiyo Lamu Port imeanzishwa chini ya LAPSSET, maana yake lengo kubwa lilikua ni kuzilenga nchi za Ethiopia na SouthSudan, baada ya mabadiliko yaliyotokea, sasa hivi mnataka kuhalalisha " Failure " yenu na kuhamisha " Goal post".

Swali, kama mlilenga "Transhipment", kwanini imeitwa LAPSSET?. Tanzania tulipogundua kwamba Bagamoyo port haitokuwa na maslahi kwa nchi na watanzania, tuliamua kusimamisha hiyo " project ", hata Bagamoyo port pia kulikuwa na Maneno hayo hayo ya, Transhipment", lakini kwa hali halisi, Afrika kwa ujumla haina " Cargo" ya kutosha kwa "Transhipment business", hata South Afrika bado hakuna mzigo wa kutosha kwasasa.

Kenya kujenga bandari " specifically " for transhipment " ni sawa na kujenga uwanja wa ndege maalumu kwa watalii wanaotumia "charter planes" ni ukichaa wa hali ya juu.
Bagamoyo uliiona haifaiw we na nani?
Mkataba uliuonea wapi km unawaumiza?
Na mbna mchina kapinga madai yenu?

ONLY IN TANZANIA
 
Tony254, acha kutetea poor planning ya GoK, hiyo Lamu Port imeanzishwa chini ya LAPSSET, maana yake lengo kubwa lilikua ni kuzilenga nchi za Ethiopia na SouthSudan, baada ya mabadiliko yaliyotokea, sasa hivi mnataka kuhalalisha " Failure " yenu na kuhamisha " Goal post".

Swali, kama mlilenga "Transhipment", kwanini imeitwa LAPSSET?. Tanzania tulipogundua kwamba Bagamoyo port haitokuwa na maslahi kwa nchi na watanzania, tuliamua kusimamisha hiyo " project ", hata Bagamoyo port pia kulikuwa na Maneno hayo hayo ya, Transhipment", lakini kwa hali halisi, Afrika kwa ujumla haina " Cargo" ya kutosha kwa "Transhipment business", hata South Afrika bado hakuna mzigo wa kutosha kwasasa.

Kenya kujenga bandari " specifically " for transhipment " ni sawa na kujenga uwanja wa ndege maalumu kwa watalii wanaotumia "charter planes" ni ukichaa wa hali ya juu.
Bagamoyo uliiona haifaiw we na nani?
Mkataba uliuonea wapi km unawaumiza?
Na mbna mchina kapinga madai yenu?

Mpka sai kuna mizigo ya tz inapitia mombasa halafu unajitia unajua sana...


ONLY IN TANZANIA
 
Bagamoyo uliiona haifaiw we na nani?
Mkataba uliuonea wapi km unawaumiza?
Na mbna mchina kapinga madai yenu?

ONLY IN TANZANIA
Sisi tumekataa, yeye mchina hana uwezo wa kupinga au kukubali, kwetu haina maslahi, sasa kama mchina amepinga, mpeni hiyo Lamu Port. Kenya mchina anaweza kuamua lolote alitakalo, hapa Tanzania lazima afuate sisi tunavyotaka.

Only in Tanzania where Chinese can't dictate terms and conditions, you are very right.
 
Nikikueleza kuwa tulipanga Lamu port ipeleke mizigo Ethiopia na South Sudan lakini mipango hiyo itachelewa kidogo kwa hivyo inabidi port yenyewe ijengwe kubwa sana spesheli ya kufanya transshipment business across East Africa pengine ndio utanielewa. Yaani wakati unaplan sio lazima kila kitu kifanyike unavyotaka, mambo yakibadilika pia nyinyi mnabadilisha plan. Hivyo ndivyo mtu mwerevu anavyofanya mambo, sio kuganda na ile plan ya awali hata kama mambo yamebadilika. Mjifunze na Kenya, muwache kuwa na akili mgando. Mambo yakibadilika pia sisi tunabadilika. Sasa hivi tunaongea kuhusu transshipment. Lapsset haijakufa lakini itachukua muda mrefu kukamilika kwani barabara kutoka Lamu hadi Isiolo ndio sasa inajengwa. Itachukua miaka mitatu au zaidi kwa hiyo barabara na Infrastructure zingine kukamilika. Kutoka Isiolo hadi Moyale barabara ishakamilika na mimi mwenyewe nilitumia hiyo barabara nilipokuwa naenda Ethiopia.
Ethiopia hawataki tena kutumia bandari ya Lamu, sio kwasababu ya barabara, kwasababu ya Djibouti ambako wamejenga reli kwa mkopo toka China, itakuwaje wasitumie reli yao ili kupata pesa ya kulipa deni badala yake watumie barabara kuja Lamu?, pili Ethiopia na Eritrea wamesuluhusha uhasama na wameanza kufanya biashara, Bandari ya Eritrea ipo karibu sana na Ethiopia, hiyo habari ya kujenga barabara haina uhusiano wowote na Ethiopia kutumia Lamu Port, kiukweli Lamu Port is "A big white elephant"
 
Sisi tumekataa, yeye mchina hana uwezo wa kupinga au kukubali, kwetu haina maslahi, sasa kama mchina amepinga, mpeni hiyo Lamu Port. Kenya mchina anaweza kuamua lolote alitakalo, hapa Tanzania lazima afuate sisi tunavyotaka.

Only in Tanzania where Chinese can't dictate terms and conditions, you are very right.
Wewe na nani, tena huo mkataba uko wapi...ccm bana, yani vile kiongozi flani kakataa na kukupa maelezo flani hta bila ya ushahisi na wewe unaamua kufuata....
 
Ethiopia hawataki tena kutumia bandari ya Lamu, sio kwasababu ya barabara, kwasababu ya Djibouti ambako wamejenga reli kwa mkopo toka China, itakuwaje wasitumie reli yao ili kupata pesa ya kulipa deni badala yake watumie barabara kuja Lamu?, pili Ethiopia na Eritrea wamesuluhusha uhasama na wameanza kufanya biashara, Bandari ya Eritrea ipo karibu sana na Ethiopia, hiyo habari ya kujenga barabara haina uhusiano wowote na Ethiopia kutumia Lamu Port, kiukweli Lamu Port is "A big white elephant"
Hzo nchi ulizozitaja kuna bandari yenye uwezo wa ku dock meli za maana
 
Wewe na nani, tena huo mkataba uko wapi...ccm bana, yani vile kiongozi flani kakataa na kukupa maelezo flani hta bila ya ushahisi na wewe unaamua kufuata....
Sisi watanzania, kumbuka rais wa nchi anawakilisha wananchi wote, kama ambavyo Uhuru Kenyatta aliwawakilisha wakenya kwa kuchukua mkopo wa hovyo na kujenga SGR ya kizamani isitokua na faida kwa wananchi wa Kenya, ndio hivyo hivyo Magufuli amekataa mkataba wa kitapeli wa wachina kwa niaba yetu.
 
Hzo nchi ulizozitaja kuna bandari yenye uwezo wa ku dock meli za maana
Ethiopia hawahitaji meli kubwa, kwa kipindi chote hicho wanatumia bandari ya Djibouti bila matatizo, msikazimishe Ethiopia kutumia "white Elephant lenu", ujinga wenu wa kuanzisha miradi ya kijinga msitake kulazimisha nchi zingine kutumia miradi yenu.
 
Wewe na nani, tena huo mkataba uko wapi...ccm bana, yani vile kiongozi flani kakataa na kukupa maelezo flani hta bila ya ushahisi na wewe unaamua kufuata....
They suffer from the Allegory of CCM
 
Heheee!!panamax lazima ikam through
Tayari hii hapa imeshafika. [emoji23][emoji23]
Geza hiyo meli kwa video ya kwanza sio post-panamax. Kweli hujui post-panamax ni meli size gani? Kama hujui kitu uliza utaelezewa taratibu.
Kilio mtakachotoa hamtaamini... Na wasi wasi na ule mkopo wa USD 3.4billion za kujenga SGR kulikuwa na some kind of collateral...na ndio maana saiv anaringa kuwakopesha tena kuendeleza...ikabidi awapeleke no where kwanza chaka..huku akisema mapato ya SGR hayatoshi..vita ya SGR na malori on cargo freight..aah mara Msa port inakwenda hivyo...si ndio collateral!? Ndio mnapigiwa pambio la lamu transshipment kumbe ndio mnakuwa na hiyo lamu yenu kama port ya msimbati na mkilishwa na bandari ya mchina Msa.
Screenshot_20191206-002006~2.jpeg
 
Ethiopia hawataki tena kutumia bandari ya Lamu, sio kwasababu ya barabara, kwasababu ya Djibouti ambako wamejenga reli kwa mkopo toka China, itakuwaje wasitumie reli yao ili kupata pesa ya kulipa deni badala yake watumie barabara kuja Lamu?, pili Ethiopia na Eritrea wamesuluhusha uhasama na wameanza kufanya biashara, Bandari ya Eritrea ipo karibu sana na Ethiopia, hiyo habari ya kujenga barabara haina uhusiano wowote na Ethiopia kutumia Lamu Port, kiukweli Lamu Port is "A big white elephant"
Halafu uhasama wa South Sudan na Khartoum unaelekea kuisha!
 
Lamu Port could fail to attract Ethiopia and South Sudan markets who might opt for the Djibouti and Eritrea ports, according to the Shippers Council of East Africa (SCEA).

The Lamu Port-South Sudan-Ethiopia- Transport Corridor project pegs its sustainability on the two countries.

According to the shippers council, the end of political and economic wars between Ethiopia and Eritrea following the July 2018 peace has created a conducive environment for trade.

Eritrea has a port which is closer to Ethiopia compared to the Lamu port.

Djibouti also provides Ethiopia with a relatively cheaper and convenient trade corridor through its port. Ethiopia seems to have shifted focus to Djibouti.

Road and rail infrastructure between the two countries including the Ethio-Djibouti railway passenger and freight system, which commenced on January 1, 2018, seem to have also shifted interest away from the Lapsset corridor.


Future prospects of peace between South Sudan and her neighbour Sudan will add pressure on Lamu Port, said SCEA chief executive Gilbert Langat.

Lack of a reliable road and rail network for cargo evacuation could also makes the use of Lamu port more expensive than Mombasa Port.

“Let’s not count on these countries. If today South Sudan and Sudan go back to the old days and allow passage of goods through Port Sudan, it will impact Lamu Port. Ethiopia the same with Eritrea and Djibouti,” said Langat.

“We have no control on what happens in Ethiopia and South Sudan,” he told the Star.

He said the government should instead focus on developing Lamu Port as a transshipment hub and a commodity port which allows developers to put up Special Economic Zones.

Langat said Lamu's natural depth and proximity to the open sea, makes it a gives it potential transshipment to serve South Africa, Tanzania, Middle East, Europe and even Mombasa just like Oman's Port of Salalah.

“Lamu may provide a bigger facility for transshipment where Kenya can become a major player for transshipment and maritime trade. The government should give space to shipping lines to put up berths. This way, they will guarantee business,” Langat said.



The Kenya Ports Authority (KPA) is currently assembling equipment for Lamu Port (whose first berth was ready in August), while pushing promotional tariffs to shipping lines and agents.

“The process (to equip Lamu Port) is ongoing,” KPA head of corporate affairs Bernard Osero told the Star yesterday, “We took shipping agencies there and a lot of them have showed interest in using Lamu Port.”

KPA managing director Daniel Manduku says they have plans to transform Lamu into a transshipment hub, but focus still remains on regional import-export markets.

“We are going to promote Lamu as a transshipment port,” Manduku told the Star, with Zanzibar among the targeted destinations.

Lapsset CEO Silvester Kasuku said that infrastructure is in place to ensure smooth transportation for both domestic and transit cargo, with southern Ethiopia and South Sudan being major destinations.

“I can confirm that we have immediate offtake road for Lamu Port,” Kasuku said.

The government is tarmacking the 135-kilometre Lamu-Garsen road, the main road connecting Lamu to the rest of the coastal region and other parts of Kenya.

In August, the government indicated it would seek the African Union’s support in bringing investors and regional support for the Lapsset project.

Launched in 2012, during former President Mwai Kibaki's regime, the project has been delayed by cash constraints and lack of political good-will which has slowed down its implementation.
Kwa maana hiyo Wakenya wanataka kuhakikisha amani haipo baina ya Ethiopia na Eritrea na Sudan Kusini na Kaskazini ili bandari ya Lamu ifanikiwe kufanya kazi tarajiwa?

Labda ni sababu hizohizo za kiuchumi Kenya haitaki Somalia iishi kwa amani?
 
Tayari hii hapa imeshafika. [emoji23][emoji23]
Kilio mtakachotoa hamtaamini... Na wasi wasi na ule mkopo wa USD 3.4billion za kujenga SGR kulikuwa na some kind of collateral...na ndio maana saiv anaringa kuwakopesha tena kuendeleza...ikabidi awapeleke no where kwanza chaka..huku akisema mapato ya SGR hayatoshi..vita ya SGR na malori on cargo freight..aah mara Msa port inakwenda hivyo...si ndio collateral!? Ndio mnapigiwa pambio la lamu transshipment kumbe ndio mnakuwa na hiyo lamu yenu kama port ya msimbati na mkilishwa na bandari ya mchina Msa. View attachment 1283089
Wacheni comedy. Meli ya 255 metres sio post panamax. Ambia huyo mwandishi wa habari arudi shule. Ingekuwa 400 metres ndio ningeshtuka
 
Kwa maana hiyo Wakenya wanataka kuhakikisha amani haipo baina ya Ethiopia na Eritrea na Sudan Kusini na Kaskazini ili bandari ya Lamu ifanikiwe kufanya kazi tarajiwa?

Labda ni sababu hizohizo za kiuchumi Kenya haitaki Somalia iishi kwa amani?
Sisi hatuna haja na mabwana wako wa Kisomali.
 
Back
Top Bottom