Laptop ina madhara gani kwa mume, mke , mtoto na tendo la ndoa?

Laptop ina madhara gani kwa mume, mke , mtoto na tendo la ndoa?

The Dangers of Computer Radiation

Excessive Exposure to Computer Radiation and Heat Leads to Many Health Concerns









dangers-of-computer-radiation-300x225.jpg


Computer radiation can cause fertility issues with both men and women, DNA fragmentation, skin burns as well as other serious health conditions.

The amount of time the average person spends in contact with with electronic devices is growing every day. The

majority of middle-class Americans own a computer and a cellphone not to mention a myriad of other devices such as

tablets, microwaves, and televisions, etc. In fact, according to the New York Times, 54% of Americans aged 18 to 30

own a minimum of one laptop. Needless to say, these devices are so integral to modern life that interaction with them

on a daily basis is seemingly inevitable. This reality makes the idea of computer radiation that much more alarming;

particularly radiation from one's laptop, which is used for both work and leisure and often comes into close contact

with one's body. In significant enough doses, computer radiation can have a myriad of negative effects on the body

such as; fertility issues with both men and women, DNA fragmentation (irreversible changes to the genetic code), skin

burns and rashes as well as other serious health conditions. The dangers from computer radiation come from both

thermal and low-energy non-ionizing radiation, which stems from the computer's internal functions and Wi-Fi

connection.

Extended exposure to thermal computer radiation may not only decrease sperm count, but it can also cause severe irritation of the skin.


Exposure to heat radiation from computers poses a significant danger if it is excessive. As previously stated,

prolonged use of laptop computers is common, and therefore dangers to one's health fromcomputer radiation are quite

real. Among the biggest risks is the possible damage to fertility if laptops are placed on a male's lap for hours per day.

Extended exposure to thermal computer radiation may not only decrease sperm count, but it can also cause severe

irritation of the skin. As far as other laptop radiant energy is concerned, electromagnetic radiation is the other primary

focus for concerned individuals. Exposure to large amounts of electromagnetic radiation can cause meaningful damage

to healthy cells and chromosome damage.Dangers posed by computer radiation come from excess exposure to electromagnetic radiation

and thermal computer radiation from internal computer components. Although there are competing studies as to how serious the dangers may be,

tech users can never be too careful. In order to protect oneself from possible negative side effects of computer radiation, there are effective

solutions such as
The DefenderPad laptop radiation shield that mitigate possible health damage.cc.@Nazjaz


attachment.php


Laptop ukiweka mapajani inachangia kuharibu nguvu za kiume.
 
Hawajasema nguvu za kiume, wamesema sperm count. Yaani utasa na uhanithi ni vitu viwili tofauti.
 
Hawajasema nguvu za kiume, wamesema sperm count. Yaani utasa na uhanithi ni vitu viwili tofauti.
Mkuu Nzowa Godat wewe ni mchaga nini?Samahani soma hapa chini pia.........
Tahadhari, Internet Inaua Nguvu za Kiume

[TABLE="width: 491"]
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]
6099230.jpg
[/TD]
[TD]
Habari si nzuri kwa wanaume wanaopenda kutumia wireless internet kwenye laptop zao wakiwa wameziweka laptop zao mapajani au karibu na viungo vyao muhimu vya kiume, utafiti wa wanasayansi wa Marekani na Argentina umeonyesha kuwa wireless internet inaua mbegu za kiume.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Utafiti uliofanywa na wanasayansi toka Marekani na Argentina umeonyesha kuwa wireless internet kwenye laptop ina madhara kwa viungo vya uzazi vya mwanaume kwa kuharibu ubora wa mbegu za kiume au kuziua kabisa.

Utafiti uliofanywa kwa kuweka mbegu za kiume chini ya laptop inayotumia wireless internet ulionyesha kuwa mbegu za kiume zilipungua ubora wake na hivyo kupunguza chansi ya mwanaume kupata mtoto.

Utafiti huo ulifanywa na timu ya wanasayansi toka taasisi ya Nascentis Centre for Reproductive Medicine iliyopo Cordoba, Argentina kwa kushirikiana na wanasayansi wa Marekani wa taasisi ya Eastern Virginia Medical School.

Mbegu za kiume za wanaume 29 wenye afya njema wenye umri kati ya miaka 26 na 45 zilikusanywa na kugawanywa makundi mawili. Kundi moja la mbegu za kiume liliwekwa chini ya laptop inayotumia wireless internet na jingine liliwekwa mbali na laptop zinazotumia wireless internet.

Matokeo ni kwamba robo ya mbegu za kiume zilizowekwa chini ya laptop yenye wireless internet ziliuliwa ndani ya masaa machache. Vinasaba au DNA ya mbegu za kiume nazo ziliharibiwa.

Kwa upande wa pili, mbegu za kiume zilizowekwa mbali na laptop hazikuonyesha kupatwa na madhara yoyote zaidi ya kupungua kidogo sana kwa spidi ya kuogelea ya mbegu za kiume.

Wakati huo huo, mbegu za kiume zilizowekwa chini ya laptop ambayo haikuwa imeunganishwa kwenye internet hazikuonyesha kukumbwa na uharibifu mkubwa kama uliotokea pale zilipowekwa chini ya laptop iliyounganishwa kwenye wireless internet.

"Utafiti wetu unaonyesha kuwa kutumia wireless internet huku ukiwa umeiweka laptop karibu na viungo vya uzazi hupelekea kuharibika kwa ubora wa mbegu za kiume", alisema Dr Conrado Avendano, ambaye ndiye aliyeongoza utafiti huo.

"Kwa sasa hatujui kama madhara haya yapo kwenye laptop zote ziliounganishwa kwenye wireless internet au la".

Sababu ya kuharibika kwa mbegu za kiume huenda ikawa inasababishwa na miale ya electromagnetic inayotolewa na wireless internet.

Matokeo ya utafiti huu yamewekwa kwenye jarida la mwezi huu la Fertility and Sterility journal, ingawa dokta Avendano amewataka wanaume wasipaniki kwani tafiti zaidi zinaendelea kuhusiana na suala hili.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
chanzo.Tahadhari, Internet Inaua Nguvu za Kiume
 
Last edited by a moderator:
[h=3]JIHADHARI UNAPOTUMIA LAPTOP[/h]



SAYANSI na teknolojia vimechochea kasi ya maendeleo ya sekta mbalimbali hivyo kuiwezesha jamii kupiga hatua katika nyanja anuai.


Maendeleo hayo kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na uvumbuzi wa kila aina duniani.


Kompyuta ni moja ya nyenzo ambazo zimekuwa zikitumika katika sekta mbalimbali kwa lengo la kurahisisha ufanisi katika utendaji kazi.


Zana hiyo hutumika kwa ajili ya kuandika taarifa mbalimbali pamoja na kupata mawasiliano ya intaneti, ambayo huunganishwa na kompyuta.


Kuwepo kwa zana hiyo, kumeleta mageuzi makubwa duniani, ndiyo maana kuna msemo kwamba maendeleo katika sekta ya mawasiliano yameifanya dunia kuwa kijiji.


Katika eneo hilo, uvumbuzi ulianza kwa kutengeneza kompyuta kubwa za mezani lakini kazi hiyo iliboreshwa na kuanza kutengenezwa kompyuta za mkononi maarufu
kama ‘laptop'.


Kompyuta hizo ndogo za mkononi, zimewezesha kurahisishwa kwa kazi na hata mawasiliano kwani mtu anaweza kutumia popote alipo na hata kutuma ujumbe au waraka duniani kote.


Aina hiyo ya kompyuta zinaweza kutumika mtu akiwa ofisini, baa, mgahawani, kwenye basi au kwenye meli. Mtu anayetumia anaweza kuweka mezani au popote anapoona panafaa na kumwezesha kufanya kazi yake bila matatizo.


Kwa watu wengi ambao huwa safarini au sehemu yoyote ambayo haina meza, huweka kifaa hicho kwenye mapaja na kuendelea na kazi zao. Kwa kufanya hivyo, hujisikia raha mustarehe na kazi hufanyika bila wasiwasi.


Pamoja na kompyuta hizo kurahisisha kazi, imeelezwa kuwa kuitumia huku ikiwa kwenye mapaja ni hatari kwa afya.


Awali, ilikuwa ikifahamika kuwa matumizi ya kompyuta kwa muda mrefu yanaweza kumfanya mtumiaji kupata matatizo ya macho na mishipa ya fahamu.


Lakini utafiti uliofanyika hivi karibuni, umebaini kuwa matumizi ya kompyuta ndogo kwa kuiweka kwenye mapaja husababisha ugonjwa wa ngozi na wakati mwingine saratani ya ngozi.


Madaktari waliofanya utafiti huo ambao matokeo yake yalitangazwa Oktoba, mwaka huu, hali hiyo husababishwa na joto la kompyuta hiyo. Joto la kompyuta hiyo hufikia hadi nyuzi joto 52.


Joto linalotokana na kompyuta hiyo, kwa mujibu wa watafiti hao na madaktari bingwa wa tiba ya binadamu, linaweza kusababisha mtumiaji kupata ugonjwa wa ngozi.


Wanasema ngozi ya mtumiaji huwa na vipele vidogo ambavyo baadaye husababisha mapaja kubadilika rangi au kuwa na vidonda.


Katika tukio la hivi karibuni, mtoto mwenye umri wa miaka 12 alikumbwa na madhara hayo katika paja lake la kushoto baada ya kutumia kompyuta ndogo kwa kucheza mchezo kwa saa kadhaa kila siku kwa zaidi ya miezi sita.

Matumizi kama haya ni hatari kwa afya yako. Chukua tahadhari ili usiungue mapajani.



"Kijana huyo alithibitisha kuwa kompyuta aliyekuwa akiitumia ilikuwa ya moto upande wa kushoto, lakini hata baada ya kugundua hakubadilisha namna ya kuiweka wakati wa kuitumia," wanabainisha watafiti hao kutoka Uswisi katika jarida linalohusu tiba ya watoto.


Wanasema mwingine aliyekumbwa na madhara hayo ya kubabuka ngozi kwenye mapaja na rangi yake kubadilika ni mwanafunzi wa sheria nchini Marekani.


Mwanafunzi huyo ambaye ni msichana, alipopata tatizo
hilo, kwa mujibu wa ripoti hiyo ya utafiti, alikwenda kuwaona madaktari wake wa ngozi.


Baada ya kwenda kwa ajili ya kumfanyia uchunguzi, madaktari wake walishangazwa na hali hiyo na walishindwa kubaini nini kilichomsibu. Lakini baadaye waligundua kuwa alipatwa na mkasa huo kwa sababu ya kutumia kompyuta ikiwa kwenye mapaja kwa muda wa saa sita kila siku.


Madaktari hao bingwa walifanya utafiti huo kuanzia mwaka 2007 na wamebaini kwamba watu wengi wameathirika na tatizo
hilo.


Hata hivyo, wataalamu hao wakiongozwa na maprofesa Andreas Arnold na Peter Itin wa Chuo Kikuu cha Tiba cha Basel, Uswisi, wanasema tatizo hilo linaweza kuwa kubwa lakini ni vigumu kuelezea ni kwa kiasi gani kwa kuwa wengi hawajaripoti na kufanyiwa tiba.


Taarifa hiyo ya utafiti umewafikia watengenezaji wa kompyuta
kama vile Apple, Hewlett Packard na Dell na wameonya kuwa ni hatari kutumia zana hizo zikiwa zimewekwa kwenye mapaja au katika ngozi ambayo haijafunikwa na kitu chochote. Mwanamdunde: JIHADHARI UNAPOTUMIA LAPTOP
 
Back
Top Bottom