Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Processor ya laptop ni generation ya ngapi? Weka details zote za muhimu.
Watu hata hawajui ssd na hdd tofauti yake,pc ikiwa na ssd lazima hata bei iwe juu
Hujui kitu tulia tu hata ssd na Hdd hujui yofaut yake hata ufayaji kazi wakeNaona kinachoifanya kuuzwa lak 4.8 ni hiyo ssd tu.
Ningekuwa sijui nisingesema kinachoipa bei hiyo pc ni hiyo ssd. Maana ssd ya gb500 ni karibu nusu ya bei nzima ya hiyo pc uliyoweka hapo.Hujui kitu tulia tu hata ssd na Hdd hujui yofaut yake hata ufayaji kazi wake
Kwamba wasukuma hawajui laptop!? Ipo namna ya kukataa bei ya kitu bila kutumia lugha isiyo na staha400k labda ampate msukumaa..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiyo PC top kabisa 300k
,[emoji16][emoji16]Kwamba wasukuma hawajui laptop!? Ipo namna ya kukataa bei ya kitu bila kutumia lugha isiyo na staha
unacheza bila wasi