Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 95
Kuna jamaa yangu yuko Ifakara anatafuta laptop mpya. Ana kiasi cha shilingi laki tano na nusu (550,000/=). Naomba tumwelekeze kama anaweza pata kwa bei hii na ni aina gani anaweza kupata. Akiambiwa na sehemu, i mean duka la kwenda si mbaya pia
Nawasilisha
Nawasilisha