Computer4Sale Laptop na Tablet mpyaa kwa bei pouwa: 30% discount

Computer4Sale Laptop na Tablet mpyaa kwa bei pouwa: 30% discount

Acha kukurupuka!!
Me sirembi matangazo ili kuvutia watu, huwa cpigi mayowe mkuu...sababu naamin wenye uhitaji wa bidhaa bora wataona wenyewe!

By the way wewe sio mteja wala mshauri wa wafanya biashara so pita kushoto hii haikuhusu!!!
Ni Tanzania pekee mteja anaonekana msumbufu au shetani.
Kwa wenzetu mteja ni mungu/ mfalme pia.
Yawezekana nisinunue leo lakini
kuna siku nitahitaji kununua na nitakumbuka maelezo mazuri uliyowahi kunipa.
Mkuu hasira za nini?
Kumbuka unapomjibu mwingine kwa hasira hata mteja mwingine anaogopa kuuliza
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ni Tanzania pekee mteja anaonekana msumbufu au shetani.
Kwa wenzetu mteja ni mungu/ mfalme pia.
Yawezekana nisinunue leo lakini
kuna siku nitahitaji kununua na nitakumbuka maelezo mazuri uliyowahi kunipa.
Mkuu hasira za nini?
Kumbuka unapomjibu mwingine kwa hasira hata mteja mwingine anaogopa kuuliza
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kweli mkuu. Na kwa majibu haya hajui ameporeza trust ya watu wangapi. Kauli na lugha na attitude ni daraja kubwa kati ya waliofanikiwa na wasiofanikiwa.
Kwa wenzetu hata uonekane msumbufu kiasi gani bado utaeleweshwa na kuelekezwa ipasavyo. Na tafiti zaonyesha wateja wasumbufu wenye maswali mengi na kejeli ndio wahitaji they just want to proove where they are putting their money to is a credible place. Kwa mwendo huu tutabaki kuwa average people.
 
Kweli mkuu. Na kwa majibu haya hajui ameporeza trust ya watu wangapi. Kauli na lugha na attitude ni daraja kubwa kati ya waliofanikiwa na wasiofanikiwa.
Kwa wenzetu hata uonekane msumbufu kiasi gani bado utaeleweshwa na kuelekezwa ipasavyo. Na tafiti zaonyesha wateja wasumbufu wenye maswali mengi na kejeli ndio wahitaji they just want to proove where they are putting their money to is a credible place. Kwa mwendo huu tutabaki kuwa average people.
Umenena mkuu;
Nimejifunza sana kuwa watu waliowahi kunisumbua awali kwa maswali mengi ndio wamenisaidia kunitangaza na kuwa wateja wa kudumu katika huduma yangu kwani walinielewa kwa kina.
Wateja wasiohoji mara nyingi ni rahisi pia kukuhama hasa endapo atajitokeza wa kuisema biashara yako kinyume kwani hawajakuelewa kwa kina.
 
LAPTOP.

Brands ni Dell & HP.

Duo Core i5 & Core i7

storage: 500 GB & 1TB

Screen size 15" & 17"


RAM: 6 GB & 8GB
Naomba quotation ya hizo kuna mtu anahitaji na ni serious buyer.
 
Back
Top Bottom