Computer4Sale Laptop nauza

517tibet

Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
39
Reaction score
4
Thinkpad ultrabook model x1 carbon
Hard disk SSD 180G
RAM 8Gb
CPU core i5@1.8ghz

Bei ni 900000

Namba yangu 0758478009

 
mkuu Chief-Mkwawa hivi kweli hii PC ya huyu ndugu yetu na hizo specification inaweza fika hiyo bei na chaji inakaa only 3 hrs...?
Msaada tafadhali
 
Hebu acha utani, ukipata elitebook g5 njoo upewe hio hela!
 
mkuu Chief-Mkwawa hivi kweli hii PC ya huyu ndugu yetu na hizo specification inaweza fika hiyo bei na chaji inakaa only 3 hrs...?
Msaada tafadhali
ndio mkuu inafika, ultrabook tena thinkpad huwa zinauzwa ghali sana.

swali la muhimu unahitaji pc ya namna hio?
 
 

Huyo unayehangaika kum-Quote anaelewa hata SSD ni kitu gani?

Vitu vingine puuzia mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…