Laptop ni muhimu kwa mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza??

akhsante mkuu nimejaribuu kujiregister kupata elimu ila vitabu ndo sijui ntavipataje...wanauza bei kubwa afu online ni hadi uwe na VISA card...hili ni tatizo lingine...sijui library za vyuo vyetu hivi vitabuu vitakuwepo
Kama umejiregister kwenye moja ya hizo site, na ukifuatilia ni lini course inaanza online ofcoz ni muhimu na kama utakua unafanya offline downloading ili hizo lectures uweze kuzitazama muda wowote na kurudia ili upate vzr kinachoongelewa ni nini, na mitihani pia wanatoa ukimaliza wanakupa cheti (kwa baadhi ya courses) vitabu kwa kua uko Tanzania ntashauri tu utumie torrents, vitabu vingi hua vinapatikana kwenye torrent sites kama kickass.to au thepiratebay.sx hata uki-google, sema unataka vitabu gani!
 
Computer ni lazima aisee ila kama mshiko haujalakaa vizuri angalia kama library ya chuo unachoenda inakidhi mahitaji unaeza kununua baadae ila tatizo litakuja kwenye kufanya assignment alaf vitabu vinapoteza muda keene kufanya kazi na kusoma japo kusoma vitabu ni muhimu..KWANGU NI LAZMA..
 
Mimi nilimaliza chuo kikuu bila laptop,inawezekana nawe ukafanya hivyo kama hauna uwezo wa kuinunua kwa sasa ila nayo ina umuhimu wake hasa mnapopewa individual assignment
 
mtoa mada nakumbuka mimi nishatupia uzi kama huu uliotupia..so umerudia mada..samahani lakini...
 
Umesema vizuri kaka, hiyo ya edx hata mimi na irecomend, ni nzuri sana na imesheheni vyuo bora zaidi duniana na kila siku kozi nyngi zinaongezeka, ila bado kuna changamoto kwetu sisi tunaotokea Afrika, ni Upatikanaji wa internet ya Kasi zaidi ili kuangalia video za lecture na pia kushiriki katika group discussion, mimi nilijaribu lakini nikaona hiyo pia ni changamoto, kitu kingine pia ingawaje kozi hizi zinatolewa bure kuna vitabua ambavyo utahitajika uvinunue na vingi huwa vipo online-onlineshopping kwa nchi za kiafrika bado ni changamoto, kwa hiyo pengine ndio maana unaweza sema kuna hiyo asilimia chache kutoka Afrika. Ila kama kuna mtu anataka kupanua fikra zake na kujiongezea potential ya kuimiliki vizuri career yake na pengine ana sparetime ya kutosha mi namshauri akasome kozi zinazotolewa na edx.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…