Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupa hii ila duocore ni mashine nzuri sana ram 2gb hdd300 ninazo za kutoshaWakuu nawasalimia kwa jina la Yesu
Wale wenzetu waislamu salaam aayqum.
Wakuu ivi kwa mtu anayesomea Bachelor of Science in Business Information Technology anafaa awe na PC gani?
Budget yangu ni 400,000/= je naweza kupata inayoendana na kozi yangu hiyo?
Naombeni ushauri.
mkuu sor inapatikanaje ? unaziuza hizo or ?Kwa laki 4 hapo ni mtumba tu, huna ujanja.
Angalau upate Intel Gen ya 4, i5 4200m ama i5 4300M.
Angalia online zoomTanzania, kupatana, jiji etc, ama nenda kkoo, uhuru, likoma mpaka machinga complexmkuu sor inapatikanaje ? unaziuza hizo or ?
Mkuu nimechukua Duocore 250hdd,ram 2, battery wameweka mpya ni kwa kusoma tu labda na muvi hv ssd hakuna upgrade hapo auAngalia online zoomTanzania, kupatana, jiji etc, ama nenda kkoo, uhuru, likoma mpaka machinga complex
Ssd unaweka sema inabidi utoe hdd kuweka ssd ama uue mlango wa cd ili uweze kutumia hdd na ssd pamoja.Mkuu nimechukua Duocore 250hdd,ram 2, battery wameweka mpya ni kwa kusoma tu labda na muvi hv ssd hakuna upgrade hapo au
Hivi kwa kila pc, hdd ni lazima uapgredi au?Ssd unaweka sema inabidi utoe hdd kuweka ssd ama uue mlango wa cd ili uweze kutumia hdd na ssd pamoja.
Hapana bro sio kila pc ni lazima ufanye upgrade ya HDD, huwa ni muhimu tu kama hdd yako ni ndogo. Naomba kuwasilishaHivi kwa kila pc, hdd ni lazima uapgredi au?
Ahaaa basi niliogopa kwamba Duo core Ina uwezo mdogo na vitu vilivyowekwa haviwez badilishwa. AsanteSsd unaweka sema inabidi utoe hdd kuweka ssd ama uue mlango wa cd ili uweze kutumia hdd na ssd pamoja.
Sio lazima, una upgrade kutokana na mahitaji.Hivi kwa kila pc, hdd ni lazima uapgredi au?
Nina swali jingine nina apps kwenye simu yangu zinakuwa na material mengi ya kusoma (mfano wa app ni Teach me anatomy,lecturio n.k) .Shida yangu ni kuwa simu ina screen ndogo hivyo nashindwa kusoma vizur,je naweza tumia njia ipi ili niweze kusoma hivi vitu kwa kutumia pc,, yaani kuna connection au inakuwajeSio lazima, una upgrade kutokana na mahitaji.
1. Unaweza ukatumia emulator kama Bluestack, Nox player, ld player etc ukainstall hizo app za Android na kusoma kwa pc.Nina swali jingine nina apps kwenye simu yangu zinakuwa na material mengi ya kusoma (mfano wa app ni Teach me anatomy,lecturio n.k) .Shida yangu ni kuwa simu ina screen ndogo hivyo nashindwa kusoma vizur,je naweza tumia njia ipi ili niweze kusoma hivi vitu kwa kutumia pc,, yaani kuna connection au inakuwaje
Asante bro nimeingia mtandaoni nimesoma kidogo kuhusu BlueStacks. Sasa technical know how ndo chali. Cha kwanza nidownload BlueStack kwenye pc afu hizo app nazidownload pembeni ila nazifungua kwenye BlueStack au nimekosea. Samahani kwa ujinga wangu1. Unaweza ukatumia emulator kama Bluestack, Nox player, ld player etc ukainstall hizo app za Android na kusoma kwa pc.
2. Weka windows 11 latest beta build. Weka amazon store toka store ya windows sideload app husika na adb, njia hii kwa sasa ni ngumu kidogo sababu ndo imetoka ila kwa baadae utaweza run app za Android kwenye pc yako.
Bluestack inakuja na playstore ndani unafungua una sign in na email ya Gmail kisha unadownload apps zakoAsante bro nimeingia mtandaoni nimesoma kidogo kuhusu BlueStacks. Sasa technical know how ndo chali. Cha kwanza nidownload BlueStack kwenye pc afu hizo app nazidownload pembeni ila nazifungua kwenye BlueStack au nimekosea. Samahani kwa ujinga wangu