Laptop nzuri ya Programming budget yangu 2.2M

Sex position gani

  • Doggy

    Votes: 7 77.8%
  • Kifo cha mende

    Votes: 3 33.3%

  • Total voters
    9
Machine zao ni za uhakika hao jamaa au tia maji tia maji
Hamna uhakika 100% ila Laptop zina uafadhali compare na simu, uwe tu makini ule ukaguzi wa kawaida na usisahau warranty hata ya miezi kadhaa.
 

Unaweza fanya programing na computer ya laki tatu na nusu, Dogo nenda kazoee chuo kwanza acha pupa
 
mkuu inaonekana hii ndo location pekee waweza pata vifaa vya computer kwa bei rahisi bongo nzima

maana since miaka ya nyuma unashauri mtu kma anataka vifaa afike hilo eneo.
 
mkuu inaonekana hii ndo location pekee waweza pata vifaa vya computer kwa bei rahisi bongo nzima

maana since miaka ya nyuma unashauri mtu kma anataka vifaa afike hilo eneo.
Kule uhuru wanapiga sana siku hizi, unaweza kwenda kama unajua kuongea
 
Huko kote ulikosema mpaka kwa 480k anapata mashine haswa. Mimi miezi miwili nilinunua core i5 gen ya 7 au 8, ni touch kwa hiyo bei.

Inakaa na chaji 4 hrs.
 
Kaka used hp elite book 840 G2
I7 5Th gen touch screen
Kwa 550K Ina worth?
 
Kaka used hp elite book 840 G2
I7 5Th gen touch screen
Kwa 550K Ina worth?
5th gen inapitwa nguvu hadi na 4th gen haina issue kwa hio bei mkuu. Kama budget inastretch hadi hapo unapata 8th gen mkuu.
 
Wanakaza fuvu.
8th 650
Endelea kutafuta mkuu, Mi kama mwezi nilienda na Mtu Discountkubwa alichukua 8th kwa 600k na tena ilikua ina mbwembwe kioo kidogo, Ultrabook, ssd, ram ya kutosha etc.

Mcheki huyu

10th gen anaclaim.

Sema kama Tapeli mjaribu
 
Hao hao discount kubwa PC kama hiyo uliyosema ni ultra slim like new wameanzia 750K hadi 650 wamegoma kushuka
 
Chief namshauri achukue dell 7400 gen ya 8

Akiagiza from Dubai anipata kwa 1.2 au 1.3 m wakati anabaki pocket money kwenye budget Ina ssd ya 512gb na ram8 gb haishindwi kitu labda tuseme anataka display kubwa wakati hii ina 14' kwangu naitumia na naifurahia.



Yote katika yote pc yoyote ila lazima iendane na anachofanya kwa sababu kesha weka hiyo budget
 
Hivi huzo data unazi access bure au ikoje mkuu.
 
Kama anaagizishia Nje i3 1215u ama i3 1220p unazipata kuanzia $250, ni nzuri zaidi ni mpya na perfomance kubwa kuliko 8th gen
 
Programming computer yoyote hufanya

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Programming gani mkuu ?
Kwaiyo hio server unai install kwenye pc yako sio eeeh 🤔 au inakuwaje
Mkuu unachotaka somea ulijishauri, ulishauliwa au ni mihemko.
Kwanini nauliza hivi ni kwasabu Kuna kukata tamaa na Kama unataka jifunza na hujui maana ya server haileti picha nzuri.
Asante
 
Hii 7 days replacement ikoje mkuu
Maana wengi wenu mnaandika hv ila mtu akishanunua akitaka kubadilisha mnageuka mbogo
 
Kama anaagizishia Nje i3 1215u ama i3 1220p unazipata kuanzia $250, ni nzuri zaidi ni mpya na perfomance kubwa kuliko 8th gen
mkuu nikitaka kuunda machine ya kuplay media za 4k hdr10+ na Dolby vision format hasa movie zile unakuta movie moja ina mpaka GB70

inatakiwa iwe specifications zipi??, kwa desktop namaanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…