Computer4Sale Laptop toka USA zinauzwa


Mkuu kama kawaida haujawahiniangusha linapokuja suala la kuelimisha jambo.
Kwa kuongezea tu HDD iko mechanical wakati SSD ni Digital. HDD ni kama CD za kawaida hizi za nyimbo/ video zimewekwa nyingi na lazima zizunguke inapofanya kazi. Pia ni rahisi kuharibika hasa inapodondoka au inatokea tu baadhi ya sehemu zinagoma. Hapo unapoteza kila kitu. Na data recovery huku kwetu inahitaji uwekezaji mkubwa. SSD zimeleta mapunduzi makubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…