The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Hizo laptops storage ni HDD au SSD?
Kwa hizo specs ni aghalabu kuwa SSD, itakua za kitambo kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo laptops storage ni HDD au SSD?
Amejibu kuwa ni HDD kama ulivyosema.Kwa hizo specs ni aghalabu kuwa SSD, itakua za kitambo kidogo.
Nilitaka kutia neno, nikaona hii biashara, nisije kuharibu biashara ya mtu.
Lakini kwa kuwa umeniuliza, mimi sina tabia ya kukimbia swali na sitaweza kuanza leo.
Hizi computer kwa miaka mingi zilikuwa zinatumia Hard Disk Drive. Hizi zinazunguka, kuzunguka huku kunasababisha ziwe na kelele, ziwe zinakula umeme sana na zinapata joto sana.Pia ziko slow, kwa sababu data inatafutwa katika disc inayozunguka.
Miaka ya karibuni, kukaja letwa teknolojia mpya ya SSD (Solid State Drive). Hizi hazizunguki, ziko faster kuliko HDD, zinatumia umeme vizuri zaidi, hazipati joto sana. Tatizo moja ni capacity, si rahisi kukuta SSD kubwa kwa bei nzuri.
Hizo sizes za GB 300- 500 kwa sasa laptop mpya nyingi ni SSD. Ndiyo maana nikaona niulize, hizo laptop storage uliyoweka hapo ni SSD au HDD?
Watu wengi washazoea "HDD", kwa hiyo mpaka SSD wanaweza kuziita HDD.
Kama unataka laptop fast, isiyotumia betri sana, isiyo na kelele, isiyoshika joto sana, na itakayoacha data zako salama kutoka nguvu za usumaku, kwa sasa hivi ni vizuri kununua yenye SSD, siyo HDD. Au unaweza kununua yenye HDD ukabadili na kuweka SSD kama mautundu hayo unayo au unajua mtu anayeweza kukufanyia hivyo.
Kama unataka kusoma zaidi in detail, kuna mtu kaandika kuchanbua tofauti za SSD na HDD kitaalamu zaidi hapa.
Sasa si uulizie model utafute hizo specs nyingine mwenyewe?Acha mzaha!Nataka nijue family group ya CPU,generation ya CPU pamoja na clock speed.Vyote hivi hujaweka!
tzs 450,000 hii ofa kwa wikiend hii tyMkuu achana na wanaokukatisha tamaa. Hiyo MAC bei ya kuchukua sh.ngapi?