Laptop yangu inasumbua button ya back space

lui03152

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2020
Posts
266
Reaction score
377
Wana ndugu naomba msaada. Nina laptop aina ya hp elite book, nilinunua ya mtumba na haikuwa na shida yoyote but hivi karibui kitufe kimoja cha backspace kimekuwa kinasumbua kwa kikataa kurespond au kinafanya kazi baada ya kubonyezwa kwa nguvu hadi imekuwa kero hasa napokuwa na kazi kubwa.

Naomba wataalamu wa mambo ya komputa mnishauri. Nilipeleka kwa mafundi kama wawili hawakuifungua lakin walishauri ninunue keybord mpya ifungwe.

Naomba kujua kama kuja njia nyingine ya kurekebisha hii ukiacha hii ya kununua keyboard mpya.
 
Nunua keyboard mkuu, mafundi wako sahihi, yawezekana shida ilianzia kwa first user, afu keyboard ni cheap kulingana na gharama utazotumia kuzunguka kwa mafundi.
 
Asante mkuu mbali na huu ushauri ulompa basi inabidi anunue keyboard tu.
 
Pc nyingi za hp hua zina shida ya button with usage.
Hata yangu ishakufa like 5 different buttons lakn as long as inapiga kazi no sweat
 
Nunua keyboard mkuu, mafundi wako sahihi, yawezekana shida ilianzia kwa first user, afu keyboard ni cheap kulingana na gharama utazotumia kuzunguka kwa mafundi.
Wanauzaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…