Lara1 ni Oprah wa Tanzania

Faiza mbona unampa za uso mwenzio? mkaushie....hizi luga zingine ni za watu fulani tu..kiswahili hakiwezi kuzungumzwa na kuandikwa sawasawa kwa wazungumzaji wote .

Ndiyo maana nnawaambia rudini Kiswahili kilipoanzia kuandikwa, ilikuwa ni kwa herufi za Kiarabu, hakutakuwa na makosa kama haya.
 
FaizaFoxy cha msingi si umeelewa...
Mimi nimeelewa ndiyo maana nikaurekebisha nisingeelewa nisingkurekebisha. Unapobadili "L" na "R" unaondoa ladha ya maandiko yako na si vyema kubadilisha ID au jina la mtu.

Hivi hao Waalimu huko mlikosoma hawakuwafundisha hayo? Basi hata nyumbani hamjafundishwa hayo?

Basi hata ulimwengu hamtaki uwafundishe?
 
Lara1 is back, Analiamsh Dude hatari!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…