eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kwa Afrika ukidai haki zako ni hiyana tayari,ukipaza sauti kukemea maovu ya serikali ni hiyana tayari,ukiexercise haki zako za kikatiba ni hiyana tayari,ukiwa mpinzani ambapo ni haki yako kikatiba na upinzani upo kwa mujibu wa katiba ni hiyana tayari na kadhalika.
Chagua kati ya wawili haya. Kuwa muAfrika au hapana.
Hata kuna mmoja alisema... it's very tough to be a gay in Africa. Everything is embedded in culture. Do push something which is not in society.