Last moments of the ‘Bulldozer’ John Pombe Magufuli

Hao hao sasa hivi wanamwita "MTAKATIFU" Magufuli! Dunia hii haiishi vituko.

vp unamwonea wivu ama? why dont you also kick the bucket tukuite ivo ufurahi maaana unaumia sana kuskia anaitwa ivo
 
hahaha usilazimishe kua alikufa na covid, hakuna reports za uhakika zaidi ya kurushiana uongo!
Wewe kutokuwa na ripoti haimaanishi ripoti haipo.

Ripoti ipo, hata kama wewe unadai bila msingi juu yake kuwa haipo.
 
Wakenya mnahangaika sana.
The dictator is gone.

Wasaidieni waganda na wanyarwanda.
We Tanzanians are done with dictatorship.

Tunasuburi atokehe dictator mwingine tumloge afwe

Sisis tunasonga mbereeeeeeeee kimya kimya.
Safi kabisa
 
Alafi eti oh Marehemu kabla hajafa aliongoza sala familia ikiwa imemzunguka...sala hiyo kwio
Ni vichaa hao. Wamepublicise sana mambo yake ambayo asilimia 90 ni uongo mtupu. Kama kufa amekufa tu naona wanataka wamfanye Mtakatifu ili waendelee kupiga hela kupitia kaburi lake . Hawachelewi kuanza kucharge watu wakapite kwenye kaburi wakidai ni Mtakatifu dhambi zenu zitasamehewa. Hawa watu walikuwa majangili sana.
 
Alafi eti oh Marehemu kabla hajafa aliongoza sala familia ikiwa imemzunguka...sala hiyo kwio
Yaani !! sala hio Kwiyoooo!

Mataga yalichukua sala ya mwalimu yakai edit yakawa yanaisambaza.

Yaani nna wasi wasi hata Yale maneno ya mwalimu tulipigwa changa la macho.
 
Hii article ya The Nation imetupa mwanga wa hali halisi ilivyokuwa kama Jemadari wetu Tundu Antipass Lissu alivyotuelezea

Sasa Povu la Majaliwa ati Watanzania walioko Nje wenye husuda hahahaah!! Mwendazake alikuwa amejizunguza na Mabogus tupu
 
Yani mnalazimisha kuwa alienda Nairobi....
Mnapenda sifa za kijinga. Jiwe hawezi kuja Kenya kutibiwa hata iwaje....
 
Alafi eti oh Marehemu kabla hajafa aliongoza sala familia ikiwa imemzunguka...sala hiyo kwio
Wanamsingizia mpaka Kadinari Pengo na Paroko Makubi eti wamemwongozea sala ya kitubio! Mtu yuko kwenye comma au ameshafariki ataongizaje sala ya kitubio?
 
Cardinal Pengo akubali kutumiwa kwenye hili kwa faida ya Mungu yupi? Labda la mungu wa jina la JMT.
Mufti je angekubali kutumiwa kudanganyia ili iweje kwa mfano?
Yaan wanatufanya tuwaone kama watu tu baki na sio wapakwa mafuta
 
Alafi eti oh Marehemu kabla hajafa aliongoza sala familia ikiwa imemzunguka...sala hiyo kwio

After all unapotaka kufa,unapambana na halo yako,kama ni sala basi utakuwa unajiombea mwenyewe yakuepuke hayo unayoenda kukutana nayo huko uendako,huo muda wa kukaa na kuongoza sala na familia huku kifo kukiwa kinanyemelea unautoa wap?
 
This is not true... he passed away out of heart complications...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…