Wewe kutokuwa na ripoti haimaanishi ripoti haipo.
Ripoti ipo, hata kama wewe unadai bila msingi juu yake kuwa haipo.
naona uko busy kwelikwelihapa leo, lakini kazi unayoifanya haina lolote la kujivunia.
Cardinal Pengo akubali kutumiwa kwenye hili kwa faida ya Mungu yupi? Labda la mungu wa jina la JMT.
Mufti je angekubali kutumiwa kudanganyia ili iweje kwa mfano?
Alafi eti oh Marehemu kabla hajafa aliongoza sala familia ikiwa imemzunguka...sala hiyo kwio
Mungu ana miujiza yake
Unapiga mtu risasi anaenda kupona Nairobi
We unaugua unaenda Nairobi hospitali Ile Ile unakufa..
Hahahahahaha Mungu hadhihakiwi jamaniMungu ana miujiza yake
Unapiga mtu risasi anaenda kupona Nairobi
We unaugua unaenda Nairobi hospitali Ile Ile unakufa..
How many shares does gates have in any current vaccination ?He is dead now. Let the man rest in peace. By the way, The Nation is funded by the Gates Foundation to the tune of $4 million. Had Magufuli embraced vaccination and other Covid related businesses, you wouldn't read such rumours from this tabloid.
The article below may help to open your eyes about what is going on...
INVESTIGATIVE REPORTS Tanzania’s Late President Magufuli: ‘Science Denier’ or Threat to Empire?
While his COVID-19 policies have dominated media coverage regarding his disappearance and suspicious death, Tanzania’s John Magufuli was hated by the Western elites for much more than his rebuke of lockdowns and mask mandates.www.operanewsapp.com
Sehemu yake kabisa as long as Ben anahusishwa na kupoteza kwake kwa kukosoa PhD. Kamfuate Jiwe mlale umkumbatienadhan ungefungua uzi kwa ajili yake, sio sehem yake apa
and then Covid-19 ended the story...
Sasa wewe unatakiwa uombe kifo chema, ni heri ambae ameenda kwa slow death, huezi jua aliongea nn na Mungu dakika zake za mwisho, he is Gone and that short period akiwa anaugulia hospital is still his secret na Mungu wake, wewe ambae hujui unakufaje ushaanza kumpangia Mungu wakati unaweza hata usipate hio dakika ya kuongea na Mungu tena, Kifo chema ndo cha msingi, fikiria wale waliokufa kwa ajali na ni papo hapo! in simple words kama hakuna mtu wa kitubio ndo imetoka hio same to all of us remaining,
Unanieleza hayo kwani mimi ndio chama cha upinzani?nadhan upinzani uendelee kubaki kama upinzani forever mpaka pale tutakapopata chama chenye misingi ya kutoa hoja kwa takwimu na evidence, kwa sasahv bakini kama mlivo
Wewe hapo ni chizi tu mpuuzi.nadhan mngeomba jamii forum iuzwe kwa ufipa ila muandike kila kitu mnachotaka then ccm iendelee kwa vitendo zaidi, wewe piga kelele mpaka uchoke mbowe hawezi kukupa hata zile gloves zake nyeusi
great!Hujanielewa wewe. Nimejaribu hao wanataka kuweka upotoshaji kwamba familia ya marehemu imedanganya kuhusu yaliyo jiri siku za mwishoni za JPM. Ndio ni kasema Cardinal Pengo na Mufti wametajwa. Je wangekubali kwa faida gani kutumiwa kaþika huo unaoitwa ni uongo wa familia. Mimi ni JPM lialia mkuu.
Bwana Yesu ni wa Neema na Rehema hataniacha ni vunwe na shetani siku za mwisho ni ishie kwenye kifo cha milele yote.
Kama wewe ndio samuli wakilishi ya walioko huko CCM, basi huko hakuna chama tena!yaani hunaga point ndo kwa ufupi