chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Habari wana MMU.
Kwa wale wanaotumia hii App au kama unaifahamu ni kwamba unaweza kujua kwamba mtu kama anatumia simu wakati gani na mara mwisho kuitumia ilikuwa muda gani.
Lengo la kuanzisha huu uzi.
Je kama unawasiliana na mpenzi wako na umehakikisha kwamba yupo Online kwa wakati huo ikimaanisha ukimtumia message basi instantly au wakati huohuo anaipata.
Naombeni ushauri wenu wakuu kuna mpenzi wangu sijui ana matatizo gani, kila unapomtumia message inafika lakini haijibu mpaka anatoka Online na kurudi tena hana habari na message yangu, anakuja kujibu muda umeshaenda sana hata ukimtumia kwa njia ya kawaida Text message anachelewa kujibu, simu yenyewe kupokea mpaka upige mara tatu au nne na pengine hapokei kabisa! Hatujagombana kwa lolote na mpenzi wangu.
Wakuu hili jambo linanikwaza sana naombeni ushauri wenu,..
Kwa wale wanaotumia hii App au kama unaifahamu ni kwamba unaweza kujua kwamba mtu kama anatumia simu wakati gani na mara mwisho kuitumia ilikuwa muda gani.
Lengo la kuanzisha huu uzi.
Je kama unawasiliana na mpenzi wako na umehakikisha kwamba yupo Online kwa wakati huo ikimaanisha ukimtumia message basi instantly au wakati huohuo anaipata.
Naombeni ushauri wenu wakuu kuna mpenzi wangu sijui ana matatizo gani, kila unapomtumia message inafika lakini haijibu mpaka anatoka Online na kurudi tena hana habari na message yangu, anakuja kujibu muda umeshaenda sana hata ukimtumia kwa njia ya kawaida Text message anachelewa kujibu, simu yenyewe kupokea mpaka upige mara tatu au nne na pengine hapokei kabisa! Hatujagombana kwa lolote na mpenzi wangu.
Wakuu hili jambo linanikwaza sana naombeni ushauri wenu,..