LAT, Voice of a Reason, Malila, Ameoba na wengine wengi...

LAT, Voice of a Reason, Malila, Ameoba na wengine wengi...

Naunga mkono wazo la msingi - nitarudi na mchango kwa maboresho na kupiga hatua
 
Mkuu kama kuna mzunguko wowote wa taarifa naomba nikumbukwe...tangu kikao cha B point kimepita niko mweupe kabisa wa taarifa...
Asenti..

Nakumbuka kikao cha pili pale Lunch Time Hotel hukufika, minutes nilituma kupitia group mail yetu, kama hujapata basi nitwangie, tuko phase TWO mkuu.
 
mlisemaje vile?

Tulisema shamba limepatikana kando ya mto Mduzi,nyumba tumejenga,kijana amepatikana wa kukaa na kutunza mifugo,njooni tufuge. Hamjaja, ila nasikia ww uko njiani Mbagala unakuja shambani, ni kweli?
 
Tulisema shamba limepatikana kando ya mto Mduzi,nyumba tumejenga,kijana amepatikana wa kukaa na kutunza mifugo,njooni tufuge. Hamjaja, ila nasikia ww uko njiani Mbagala unakuja shambani, ni kweli?

hahahaha, kwa jinsi nilivokukumbuka acha tu nije. niandalie mbuzi mmoja nimtafune.
 
Back
Top Bottom