Wakuu, plz count me in kwenye hiyo project. Mimi na business partner wangu ambae ni member humu. Tutatolea kwenye kikao. Kama ikionekana vyema naweza kumualika na prof mmoja dr wa mifugo ambae ni member humu pia. Ataweza kutoa ushauri juu ya technical issues bure kama member. Very good ideas.
Wakuu count me in kwenye hiyo project!
malila and VOR
please we need a calculator for costs estimates/proposed budget
tupo mahali pazuri
Raising of Goat Meat Project
Proposed Budget
Project cost summary
1. Capital Investment
1.1 Land ======= proposased 10-20 acres ( eka 20 x 330,000/ + 200,000/ fuel wakati wa kukagua shamba, wazee wa pwani hawatembei, inabidi twende na gari mara mbili)
1.2 Buildings
Staff ===== one bedroom and store simple shade ( vyumba 3( 12 x 36)ft, choo kizuri = 5.5M kama mchanga tutachimba pale pale).
Livestock (Goat) barn, fence ====== 5x15 meters suspended wood & log shade (mabanzi na nguzo), with corrugated iron sheet roofing
Nguzo tutatumia kulunge na zinapatikana kule kule @ Tsh 5000/ kila kulunge ikiwa shambani tayari. Tunahitaji ngapi ? hesabu itafanywa.
2. Plant , Machinery & Equipments
2.1 Accessories - Spray pump, Baddizo
2.2 Water tank Ni la chini au tutajenga la kuning`inia juu? Ukubwa upi ?
3. Motor Vehicle
Not now
4. Furniture & Fittings ( Farm meneja atakuwa hapiki, kitanda, net nk
Not now
5. Pre operational expenses
5.1 feasibility costs
5.2 aquisition of land expenses hapa kuna 10%, fuel na posho za wazee,VEOs, ziko ndani la laki mbili hapo juu.
5.3 mobilization expenses
6. Working Capital
6.1 costs of livestocks grains and fodders for 6 months
6.2 salary and wages for 6 months @ 2 workers Laki 2 kwa mwezi sio mbaya kwa kuanzia kwa mfanyakazi atakayeanzisha shamba, baada ya hapo ndio tutareview, awe na mke.
6.3 veterinary expenses for 6 months
7. Stocks
7.1 Cost of 50 heads goats (bucks, does and wethers)
7.2 medicines and vaccinations
8. Utilities and consumables
8.1 telephone charges Za farm meneja au sisi
8.2 water & electricity Milioni moja kwa sola power ya kuanzia inaweza kukidhi haja.
8.3 transportation charges
Total amount =======================
wakuu , naomba tuchangia kujaza hii budget
-Tumesahau baiskeli ya kijana ni laki moja na nusu, japokuwa in future tutanunua boda boda moja.malila
thanks for that
- kwakuwa hatuna umeme basi tanki tutalijengea kitako juu kidogo kama 2.5 feet ili iwe rahisi kuweka maji yanayochotwa kwa ndoo na pia kuyafungua kwa bomba dogo kwa ajili ya matumizi = hapa tuwekeTsh 500,000/ yaani kokoto,saruji na ufundi, tofali zitakuwa ktk budget mama ya nyumba ya mtumishi.
- phones ni ya manager na mmoja ya keepers = kwa kuanzia,tuanze na ya mtunzaji cell phone ya 60,000/ na vocha za 5000/ kwa week na chager yake
- the salary is inclusive his own upkeep including meals but we may grant medical care to our workers
-spray pump for washing, sanitation and fumigation is around TSh 80,000 15ltrs capacity, Baddizo (bucks fatening) is also Tsh 70,000 kifaa kwa ajili ya kuhasi mbuzi
- stock ya dawa za minyoo, antibaotics (OTC 20%) na dawa za kuogeshea for six month for 50 heads can cost around Tsh 50,000
- stock ya mbuzi Tsh 35-40,000 per head inclusive transportation x 50 heads
kwa wale ambao sasa hawapo nchini lakini wanataka kuwemo 100% kwenye mradi, je wao watalipa gharama sawa na waliokuwepo? malila nakutegemea wewe mkuu.
Mpaka sasa, hatujaanza kukusanya fedha, lakini ndani ya week hii naamini tutaanza, kwa sababu tunajaribu kuweka makisio sahihi,tukikamilisha proposal zetu kama unavyoziona jukwaani, tutaona kila mtu anatakiwa mchango kiasi gani. Sasa kama uko majuu, hakuna ugumu wo wote ule, niko na jamaa watano huko majuu na siwajui na nina fanya nao project vizuri, na mwingine hata hii project ameomba asiachwe, kama itakuwa shida kwako kutuma mchango basi tujulishe ili tuone jinsi ya kufanya sisi sote kama group.
Mchakato wa LAT umekaa vizuri,Malila nashauri uchukue Jukumu la kuwa Interim Finance controller mpaka mradi utakapo simama.
Tutarajie kuanza na kiasi gani per individually?
wakuu
pamoja na kuendeleza mapambano haya bila ya kusita wala kusuasua, mimi ningeshauri kwamba tupange siku ya kukutana ili tufahamiane vizuri zaidi, kupanga mikakati zaidi na kukubaliana aina ya umojawetu huu katika hii project, kwa urahisi bila kuwa na mlolongo mimi nashauri tusajili business name ambayo itakuwa legal with the partnership deed, hii registration ninaweza kuifanya ndani ya siku moja tukapata business name certificate pamoja na Rigestrar Extract/partneship deed, registration hii haizidi Tsh 10,000 in which personally i can offer for this,
mambo haya yote yaende sambamba bila kutegemeana
twaweza sasa kutoa mawazo ya jina la project kwa usajili, vile vile tunaweza anza kufanya mawasiliano ya group e.mail with our true identities
nawakilisha
Pamoja farm liko sawa