mmbangifingi JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 2,839 Reaction score 566 May 15, 2016 #1 Ni nani hasa alimuua Rais wa Msumbiji wakati huo Samora Machel? Renamo? Serikali ya Makaburu? Kwanini ilikuwa lazima wamuue?
Ni nani hasa alimuua Rais wa Msumbiji wakati huo Samora Machel? Renamo? Serikali ya Makaburu? Kwanini ilikuwa lazima wamuue?
Inferior Complex JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 3,655 Reaction score 5,023 Jul 15, 2016 #2 Mungu ndiye alimuua baada ya kumdhihaki mbele za watu! Rejea kwenye uzi hapo chini!
ora JF-Expert Member Joined May 21, 2016 Posts 1,198 Reaction score 1,126 Jul 16, 2016 #3 ngoja mama anisimulie nitarudi[emoji125][emoji125] maana kipindi hicho walikua mtwara