LATRA acheni kuwaonea wafanyabiashara wa magari ya abiria

LATRA acheni kuwaonea wafanyabiashara wa magari ya abiria

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya wiki 52 za mwaka mzima.

Nje ya nyakati za sikukuu hasa za mwisho wa mwaka wasafirishaji hufanya biashara yao bila kupata faida kwa sababu hakuna abiria wa kutosha. wakati mwingine husafirisha abiria kwa nauli punguzo. kwa misingi hiyo nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka ndiyo wakati wa kupata ahueni kwa biashara zao.

Inatokea hivi kwenye usafairi wa anga, nauli hupanda sana wakati wa misimu ya sikukuu na hakuna kuingiliwa kama LATRA wanavyofanya.

Kuna haja ya LATRA kufanya kazi kwa hekima na busara kidogo kuliko wanavyofanya sasa ili kuwe na win win kwa pande zote. Kwa sasa wasafirishani wa abiria kwa njia ya barabara wanaonewa sana.
 
Ujinga wako huo mpandishe nauli halafu muachwe? Shwaini
321434078_865029034698923_2647989194730239944_n.jpg
 
Itakuwa ni kuwaonea hao wasafirishaji wa abiria kama LATRA wanaenda kinyume na sheria. Lakini kama wanazingatia sheria basi kazi iendelee.
 
mbona usafiri wa ndege unapanda wakati wa sikukuu kwani mabasi yanazuiliwa
 
Itakuwa ni kuwaonea hao wasafirishaji wa abiria kama LATRA wanaenda kinyume na sheria. Lakini kama wanazingatia sheria basi kazi iendelee.
mbona hawafanyi hivyo wakati wote- unakuta basi la abiria 45 ilnaenda Dar kutoka Mwanza nusu tena kwa 70% ya nauli ya kawaida na wla LATRA hawaingilii kati!
 
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya wiki 52 za mwaka mzima.

Nje ya nyakati za sikukuu hasa za mwisho wa mwaka wasafirishaji hufanya biashara yao bila kupata faida kwa sababu hakuna abiria wa kutosha. wakati mwingine husafirisha abiria kwa nauli punguzo. kwa misingi hiyo nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka ndiyo wakati wa kupata ahueni kwa biashara zao. Inatokea hivi kwenye usafairi wa anga, nauli hupanda sana wakati wa misimu ya sikukuu na hakuna kuingiliwa kama LATRA wanavyofanya.
Kuna haja ya LATRA kufanya kazi kwa hekima na busara kidogo kuliko wanavyofanya sasa ili kuwe na win win kwa pande zote. Kwa sasa wasafirishani wa abiria kwa njia ya barabara wanaonewa sana.
Ila wabongo 🤣🤣🤣 yaan hapo wasingesimamia hilo watu wangelalamika san. Nakumbuka kuna kipind flan ishu ya nauli kupanda watu walitoa milio ya kila aina serikali iwasaidie kushushwa nauli!!
 
Wenye mabasi ni wezi sana kwa msimu huu. Mimi ni LATRA mmojawao, huwa sipotezi muda nikikuta mwana-bus kazidisha nauli, namtwanga faini tu ya laki na nusu.
Ndo unakuwa umemuonea mwenye basi- fanya ujue unaonea
 
Kwahiyo unataka mwenye bus awaonee abiria eeeh?!!!!
Asiwepo wa kuonea mwingi kwani wote tunategemeana. kwa wiki 50 kwa mwaka wale wa mabasi huwa hawajazi abiria hivyo ama wanapata faida kidogo au hasara- kipindi hiki ndicho cha kufidia ili mwaka walau ujilipe.
 
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya wiki 52 za mwaka mzima.

Nje ya nyakati za sikukuu hasa za mwisho wa mwaka wasafirishaji hufanya biashara yao bila kupata faida kwa sababu hakuna abiria wa kutosha. wakati mwingine husafirisha abiria kwa nauli punguzo. kwa misingi hiyo nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka ndiyo wakati wa kupata ahueni kwa biashara zao. Inatokea hivi kwenye usafairi wa anga, nauli hupanda sana wakati wa misimu ya sikukuu na hakuna kuingiliwa kama LATRA wanavyofanya.
Kuna haja ya LATRA kufanya kazi kwa hekima na busara kidogo kuliko wanavyofanya sasa ili kuwe na win win kwa pande zote. Kwa sasa wasafirishani wa abiria kwa njia ya barabara wanaonewa sana.
Wanufaika wakubwa wa ongezeko la nauli sio wamiliki wa mabasi
 
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya wiki 52 za mwaka mzima.

Nje ya nyakati za sikukuu hasa za mwisho wa mwaka wasafirishaji hufanya biashara yao bila kupata faida kwa sababu hakuna abiria wa kutosha. wakati mwingine husafirisha abiria kwa nauli punguzo. kwa misingi hiyo nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka ndiyo wakati wa kupata ahueni kwa biashara zao. Inatokea hivi kwenye usafairi wa anga, nauli hupanda sana wakati wa misimu ya sikukuu na hakuna kuingiliwa kama LATRA wanavyofanya.
Kuna haja ya LATRA kufanya kazi kwa hekima na busara kidogo kuliko wanavyofanya sasa ili kuwe na win win kwa pande zote. Kwa sasa wasafirishani wa abiria kwa njia ya barabara wanaonewa sana.
Huna akili mbuzi.
Ww hujawahi kukwama kwa kupandishiwa nauli ndio maana unabwabwaja.
Kama biashara hiyo haiwalipi wangeacha.
Wqo walikwambia kusafirisha abiria siku za kawaida ni hasara?
 
Abiria ni wengi na gari zinajaa, Bado nauli wapandishe? na unatetea! Mboni hatuna jema sisi wa Tz!!
 
Huna akili mbuzi.
Ww hujawahi kukwama kwa kupandishiwa nauli ndio maana unabwabwaja.
Kama biashara hiyo haiwalipi wangeacha.
Wqo walikwambia kusafirisha abiria siku za kawaida ni hasara?
Halafu wewe usafiri na nini kwa sababu pamoja kuwepo magari 2,500,000 hujawai kununua wala hata baiskeli huna. Hata biashara ya kuuza bamia
 
Asiwepo wa kuonea mwingi kwani wote tunategemeana. kwa wiki 50 kwa mwaka wale wa mabasi huwa hawajazi abiria hivyo ama wanapata faida kidogo au hasara- kipindi hiki ndicho cha kufidia ili mwaka walau ujilipe.
Unafidiaje sasa? Au unashindwaje kufidia? Kwani serikali huwa inawalazimisha kushusha nauli muda kama huu? Mbona mimi huwa nawapiga faini kwa kufata miongozo halili ya nauli. Kwa mfano juzi nimemtandika faini konda wa bus linaitwa Luxury, hili linatoka Njombe laenda Dar. Eti nauli ya Njombe to Moro inaonesha kabisa ni elfu 29, yeye katoza elfu 40, kibaya zaidi hata tiketi za electronic hataki kutoa. Nilimpiga faini moja matata, na palepale nikamlazimisha atoe tiketi za ki electronic. Na bado nawatandika wengine wenye tabia hizo faini iliyoenda shule. Sitaki ujinga mie....
 
Unafidiaje sasa? Au unashindwaje kufidia? Kwani serikali huwa inawalazimisha kushusha nauli muda kama huu? Mbona mimi huwa nawapiga faini kwa kufata miongozo halili ya nauli. Kwa mfano juzi nimemtandika faini konda wa bus linaitwa Luxury, hili linatoka Njombe laenda Dar. Eti nauli ya Njombe to Moro inaonesha kabisa ni elfu 29, yeye katoza elfu 40, kibaya zaidi hata tiketi za electronic hataki kutoa. Nilimpiga faini moja matata, na palepale nikamlazimisha atoe tiketi za ki electronic. Na bado nawatandika wengine wenye tabia hizo faini iliyoenda shule. Sitaki ujinga mie....
Safi piga kazi mkuu.....wanyooshe
 
Nyie ndiyo kama wale wanaotengeneza majeneza...wanaomba watu wafe ili wafanye biashara,..soo selfish
 
Back
Top Bottom