LATRA acheni kuwaonea wafanyabiashara wa magari ya abiria

LATRA acheni kuwaonea wafanyabiashara wa magari ya abiria

Lengo lako ni kua abiria asitetewe kwa mujibu wa sheria za LATRA.
Jua kwanza kazi ya LATRA
 
Asiwepo wa kuonea mwingi kwani wote tunategemeana. kwa wiki 50 kwa mwaka wale wa mabasi huwa hawajazi abiria hivyo ama wanapata faida kidogo au hasara- kipindi hiki ndicho cha kufidia ili mwaka walau ujilipe.
Unataka kufidia kwa kuumiza abiria kwa kuwapandishia nauli?
Nani kakuambia mabasi hayajazi majira mengine ya mwaka? Kila siku shabiby imejaa na watu wanafanya booking kabisa.
Serikali ni mdhibiti wa huduma lazima ifanye kazi yake, hakuna uholela kwenye ufanyaji kazi,
 
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya wiki 52 za mwaka mzima.

Nje ya nyakati za sikukuu hasa za mwisho wa mwaka wasafirishaji hufanya biashara yao bila kupata faida kwa sababu hakuna abiria wa kutosha. wakati mwingine husafirisha abiria kwa nauli punguzo. kwa misingi hiyo nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka ndiyo wakati wa kupata ahueni kwa biashara zao.

Inatokea hivi kwenye usafairi wa anga, nauli hupanda sana wakati wa misimu ya sikukuu na hakuna kuingiliwa kama LATRA wanavyofanya.

Kuna haja ya LATRA kufanya kazi kwa hekima na busara kidogo kuliko wanavyofanya sasa ili kuwe na win win kwa pande zote. Kwa sasa wasafirishani wa abiria kwa njia ya barabara wanaonewa sana.
Usichoelewa hizi nauli zinazopanda kipindi hiki mwenye basi hapati hilo ongezeko ni wapiga debe na madalali ndio wanufaika
 
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya wiki 52 za mwaka mzima.

Nje ya nyakati za sikukuu hasa za mwisho wa mwaka wasafirishaji hufanya biashara yao bila kupata faida kwa sababu hakuna abiria wa kutosha. wakati mwingine husafirisha abiria kwa nauli punguzo. kwa misingi hiyo nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka ndiyo wakati wa kupata ahueni kwa biashara zao.

Inatokea hivi kwenye usafairi wa anga, nauli hupanda sana wakati wa misimu ya sikukuu na hakuna kuingiliwa kama LATRA wanavyofanya.

Kuna haja ya LATRA kufanya kazi kwa hekima na busara kidogo kuliko wanavyofanya sasa ili kuwe na win win kwa pande zote. Kwa sasa wasafirishani wa abiria kwa njia ya barabara wanaonewa sana.
Kama hawapati faida mbona wanaleta mabasi mengi mengi kwa mkupuo? Si waache biashara?
 
Asiwepo wa kuonea mwingi kwani wote tunategemeana. kwa wiki 50 kwa mwaka wale wa mabasi huwa hawajazi abiria hivyo ama wanapata faida kidogo au hasara- kipindi hiki ndicho cha kufidia ili mwaka walau ujilipe.
Lini ushaona Abood linaondoka bila kujaa?
 
Huna akili mbuzi.
Ww hujawahi kukwama kwa kupandishiwa nauli ndio maana unabwabwaja.
Kama biashara hiyo haiwalipi wangeacha.
Wqo walikwambia kusafirisha abiria siku za kawaida ni hasara?
Jenga hoja acha kutumia zisizo za kistaarabu. Wavuta bangi na wanywa gongo hili jukwaa siyo mahala pao.

Mleta mada ajibiwe kwa hoja. Mbona kuna biashara nyingi tu msimu huu hua zinapanda bei? Mfano nenda buchani hivi Sasa unaambiwa kilobya nywma elfu 9. Serikali hiyo hiyo iko kimya.

Mskmu wa mvua bei ya miavuli hupanda mara mbili. Hatuoni hizi operesheni kama za LATRA

Mwezi January shule zinapofunguliwa stationery huwa zinapanda hatuoni mamlaka zikiingilia.

Ndipo sasa mleta mada anaona kama wenye mabasi wnaonewa.
 
Mleta mada wewe ni mjinga bin mpuuzi bin mpumbavu!
Siwezi hata kukushauri kwani hutaelewa kwa sababu zilizo hapo juu!
 
Lini ushaona Abood linaondoka bila kujaa?
Ndiye pekee unayemjua? Waulize Najimunisa wazee wa njia ya Dar/Mza/Dar toka wewe hujazliwa, toka watu wanaenda Dar kutoka Mwanza kupitia Nairobi
 
Uzuri Latra hawajawahi walazimisha kubeba abiria, ni wao ndo wanaenda omba leseni, hivyo basi wafuate maelekezo ya leseni.

Latra waondoe madalali, hapo swala ni kupiga faini wenye magari endapo abiria atakuwa ma ticket isiyo ya electronic na isiyo na jina lake.


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Uzuri Latra hawajawahi walazimisha kubeba abiria, ni wao ndo wanaenda omba leseni, hivyo basi wafuate maelekezo ya leseni.

Latra waondoe madalali, hapo swala ni kupiga faini wenye magari endapo abiria atakuwa ma ticket isiyo ya electronic na isiyo na jina lake.


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hili lako jipya
 
Back
Top Bottom