MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
- Thread starter
-
- #41
Hahaahaha mkuu sina chochote hapo nipo tu seneor jobless nimeandika kwa uchungu maana mtegemezi wangu ugali wake uko hapo analalamika kila siku hao jamaa wanatunyima hela.......Thread hii imeandikwa na mwenyekiti wa wenye virikuu na matoyo...
Route zote mpya zinakuja na changamoto zake vituoni . Kwa dar karibu route zote mpya ni ndefu,Kaka iko hivi miaka ya nyuma mambo yalikuwa yanaenda vizuri sana tu....shida imekuja ilipoanza ruti ya gari za gongo la mboto,chanika,homboza,pugu,kigogo, kuja hapa machinga complex hawa jamaa asubui wakishamwaga abiria wao wanakiwa wanarudi hamna abiria so ndio wanaaamua kuja kutega pale boma ambapo ndipo kuna gari nyingi za mizgo zinakuwa zimepaki asubuhi.
Na hili la mizigo kupotea pia upo sahihi nakuunga mkono hapa inabidi wajirekebishe.
Sasa watu wamevumilia si unajua mwanzoni ile mtu unachukulia poa hasa sasahivi ishakuwa tabia na imeota mizizi naamini LATRA wakija siku moja tu na faini zao za laki tatu hawarudii kwa sababu hata mabos wa hzo daladala hawapendi gari zao zibebe mizigo....Route zote mpya zinakuja na changamoto zake vituoni . Kwa dar karibu route zote mpya ni ndefu,
Faini kubwa kubwa za mamlaza za kitanzania hazijawahi kusaidia mtu wala serikali . sana sana zinaalika vikao vya rushwa na mtoa fine . Ndicho wafanyabiashara wanalalamikia Tra na faini zao za mamilioni.Sasa watu wamevumilia si unajua mwanzoni ile mtu unachukulia poa hasa sasahivi ishakuwa tabia na imeota mizizi naamini LATRA wakija siku moja tu na faini zao za laki tatu hawarudii kwa sababu hata mabos wa hzo daladala hawapendi gari zao zibebe mizigo....
Sina id nyingine Ndugu, ila matusi yanadifine Star Yako!! Usipende sana kutukana katika kujenga hoja zako!! UshauriKaribu naona umekuja na id yako nyingine....umeona matusi yangu tu ila kashfa zako ujaziona
Hivi inakuwaje unataka uheshimiwe na wewe huna heshima hasa mitandaoni?
Hawapendi sana, ila wanampenda abiria jinsi alivyokujaSasa watu wamevumilia si unajua mwanzoni ile mtu unachukulia poa hasa sasahivi ishakuwa tabia na imeota mizizi naamini LATRA wakija siku moja tu na faini zao za laki tatu hawarudii kwa sababu hata mabos wa hzo daladala hawapendi gari zao zibebe mizigo....
Noted boss asante ....Sina id nyingine Ndugu, ila matusi yanadifine Star Yako!! Usipende sana kutukana katika kujenga hoja zako!! Ushauri