LATRA wa Makambako hawana huruma na Wafanyabiashara kabisa

LATRA wa Makambako hawana huruma na Wafanyabiashara kabisa

Kilasi Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
2,325
Reaction score
723
Hawa LATRA wa Makambako naona wamekaa kituoni Makambako kukata faini za 250000.

Hawana huruma na wafanyabiashara kabisa.Gari ikienda Mbeya na kurudi hesabu yake ni 150000.

Wenyewe wanamkatia mtu faini tatu mbili huku wakitishia kufungua magari Tena kwa vikosa vidogo vidogo kama mkanda haufungi ticketi mtandao umesumbua Kila kosa lakimbili nanusu.

Wanataka kuua kanisa biashara ya usafirishaji Iringa Njombe Mbeya.

Faida yote na mtaji wanachukua wao. Gari iharibike utengeneze wewe. Ikirudi babarani kabla hata hujapata Hela Wana andika mafaini yasiyo lipika. Kodi ziko juu barabarani LATRA. Kuna biashara hapo?
 
Hawa LATRA wa Makambako naona wamekaa kituoni Makambako kukata faini za 250000.

Hawana huruma na wafanyabiashara kabisa.Gari ikienda Mbeya na kurudi hesabu yake ni 150000.

Wenyewe wanamkatia mtu faini tatu mbili huku wakitishia kufungua magari Tena kwa vikosa vidogo vidogo kama mkanda haufungi ticketi mtandao umesumbua Kila kosa lakimbili nanusu.

Wanataka kuua kanisa biashara ya usafirishaji Iringa Njombe Mbeya.

Faida yote na mtaji wanachukua wao. Gari iharibike utengeneze wewe. Ikirudi babarani kabla hata hujapata Hela Wana andika mafaini yasiyo lipika. Kodi ziko juu barabarani LATRA. Kuna biashara hapo?
Waiandikie New Force Kama hawataki kazi.
 
Taasisi nyingi za Serikali zimejaza watu wajinga sana. Yamenenepa makalio na matumbo kichwani ni zero kabisa
 
Wagomeeni tu kulipa hizo faini
Ukigoma gari inapelekwa kituoni ambako nako utalipa Tu Ila kiukweli hawa LATRA waangaliwe faini zao ni kubwa hazilipiki. Imagine mtu unapigwa faini ya Hadi laki 6 huko uilipe ndani ya masaa machache na ukichelewa Tu unakuta gari ipo kituoni.
 
Ujatuambia ukifanya kosa Gani...? Sasa ebu tuambie kosa ulilo lifanya tujue jinsi ya kukushauri
 
Fateni sheria za barabara, mnalalamika wakati hamfati sheria

Latra ongezeni faini hadi 600,000
Unaongea kama mbumbu wa biashara kabisa.Ungekaa kimya inge kusaidia.Wengi hawaagizi mabasi kama zamani.Hujui athari zake hata mapato ya bandari yana a athirika Nani alete gari ambalo m nufaika ni LATRA?
 
Back
Top Bottom