LATRA yasitisha Leseni za baadhi ya mabasi ya Dar Express, Kidia One, Luwinzo, Super Feo

LATRA yasitisha Leseni za baadhi ya mabasi ya Dar Express, Kidia One, Luwinzo, Super Feo

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni za usafirishaji kwa mabasi 22 kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Februari,2023

Hatua hii ni kutokana na vitendo vya kuingilia Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari (VTS) na kusababisha mfumo kutotuma taarifa ama kutuma taarifa kwa kurukaruka (skipping).
photo_2023-02-21_19-37-32.jpg
photo_2023-02-21_19-37-34.jpg
photo_2023-02-21_19-37-35.jpg
photo_2023-02-21_19-37-36.jpg
 
Utaratibu mzuri huu kuliko fine, fine za pesa hazina uzito kama hili la kufungia leseni, kesho hawata rudia tena
 
DRE Itakuwa ilenya Misoma-Dar maana kwa kumwaga moto ni hatari
 
Back
Top Bottom