LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

Kama tu malipo ya serikali shida kupata control number sababu ya mtandao vipi unawahi ubungo unakata tikeki unaambiwa hakuna kupanda gari had message ifike message inafika kesho.Afrika technology bado sana
 
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ€£
Tutapanda Tu
Kuna Siku Nimetoka Morogoro ~ Dar es Salaam
Njiani Waliopanda Hakuna Mtandao Ikawa Shida
Kupata Ticket!!
 
Na usisahau watoto wa wachawi hawanaga dogo, kazi kumsaidia shetani kukukwamisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…