sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Sure mkuuVijana wa sasa wanataka amsha amsha na matusi sasa ukiwa mtu wa kulalama sana hawakuelewi.
lavalava anaimba vizuri sana sasa sielewi tatizo lipo wapi.
Lava lava kaanza kuachia kazi zake 2017 may
View attachment 1845084
Mbosso - Agosti 2018
View attachment 1845085
zuchu - april 2020, saizi ni moto mkali sana
View attachment 1845086
lavalava anaimba vizuri sana sasa sielewi tatizo lipo wapi.
Lava lava kaanza kuachia kazi zake 2017 may
View attachment 1845084
Mbosso - Agosti 2018
View attachment 1845085
zuchu - april 2020, saizi ni moto mkali sana
View attachment 1845086
'lavalava anarogwa na babutale///Kigoma Independent anaweza kutusaidia hapa
Nyimbo zake zinaboa...No beating around the bush!!!Lava lava nyimbo zake karibia zote zinajulikana ni kulalamika kuhusu kuteswa na mapenzi,et na yeye akae atunge nyimbo kumchamba Harmonize!! Seriously?
Hahahah hili niliwahi fikiri kuwa Lavalava anapata wakati mgumu sana ku sustain game ya WCBLava lava Hana kipaji , ni moja ya wasanii ambao diamond alichochora ...!!! Ushaur wangu yeye anatakiwa awe backup pale WCB, awe anawatungia nyimbo akina Zuchu , mana wao akli ya kumodifie wimbo ili uwe hitsong wanayo..Ila yeye hana
Ukiwa unafanya comparison usiwe unamuweka Zuchu...huyu demu ana nyota inakaribia ya diamond after two years ukitaja wasanii wakubwa wa kike Africa Zuchu atakuwa kwenye top 5 au 3. So uwe unamuweka pembeni ni special case.Lavalava anaimba vizuri sana sasa sielewi tatizo lipo wapi.
Lava lava kaanza kuachia kazi zake 2017 may
View attachment 1845084
Hata baada ya kutafuta kiki katoa ngoma nzuri ila bado ina sua sua
View attachment 1845122
Mbosso - Agosti 2018
View attachment 1845085
zuchu - april 2020, saizi ni moto mkali sana
View attachment 1845086