Yeye anazungumzia aina ya mziki ndo apendi ila amaanishi anaimba vibaya au nyimbo zake mbaya.Khaa..!!Humuelewi muhindi wa kibiti Fundi Mbosso??Ebu skiliza Hodari,Nipepee,Tamu,Picha yake,Nadekezwa,Maajabu alaf urudi tena mamilox,,Mbosso muziki wake unaitwa Baibuda
Mtoa mada unaonekana ufatilii mziki lavalava ni fundi Sana ametoa mbona hits nyingi Kama go Gaga,nitake Nini,bora tuachane,niuwe,Teja,gundu n.k na zote zimefanya vizuri kuhusu kimataifa subiri akifanya ngoma na Simba ndo ataanza kun'gaa kimataifa hao wengine km harmonize, rayvanny wameboostiwa Sana na Simba kwa collaboration.-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake..
-anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake..
-lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki.
-laiti nafasi ya lava lava angepewa hata dogo janja hakika dogo janja angekuwa international tayari.
kina harmonize na rayvanny saizi ni moto ni wa kimataifa, Mbosso nae kibish kisbish anapambania gawio lake hapa bongo na shows anapata, queen darleen huyu ni dada yake D na hata akiharibu hawazi, Ila kwa Lavalava pana utata.
Kumkodisha harmonize au rayvanny kwa show yaweza kufikia milion 15, Mboso unaweza ikawa milion 7 ila hapa kwa lavalava si ajabu bei za kumkodisha ikawa ni milioni 3
Nimesoma comments lengo kumpata mwenye wazo kama wewe!! Kumbe tupo pamoja.Aina hiyo ya muziki siupendi kwakweli, hakuna wimbo wake nimewahi kuupenda. Yeye, huyo lavalava na kassim mganga.
Afadhali, nilidhani niko peke yangu😂Nimesoma comments lengo kumpata mwenye wazo kama wewe!! Kumbe tupo pamoja.
Asante sana mkuu.Bila shaka unaongelea Gundu,Nikutume wapi sasa njiwa inaitwa Teja
Lavalava wa kawaida mno mkuu, hamfikii hata beka flavor
Hamna kitu. .promo tu. .hao wawili wote wana bebwa na promo. .wakitoa nyimbo 10 ,,2 tu ndio zinakuwa nzuri .ila nyingine zote zilizobaki zita hit kwa sababu ya nguvu ya promoKhaa..!!Humuelewi muhindi wa kibiti Fundi Mbosso??Ebu skiliza Hodari,Nipepee,Tamu,Picha yake,Nadekezwa,Maajabu alaf urudi tena mamilox,,Mbosso muziki wake unaitwa Baibuda
Vip kwani ni ndogo sana?Rayvany anafanya show kwa 15mil? Daah
Acha kusifia ujinga...Harmo, Rayvanny,Mboso na Simba mwenyewe ni wa kimataifa..yeye anafanya nini hapo WCB? aondoke.Humjui lava lava wewe
Bora tuachane wimbo wake wa kwanza ulikua ni wimbo wa taifa...
Go gaga na niuwe ndio nyimbo zinazopigwa club kila baada ya dk 20
Dede nao umemshika kila mtu
Acha kusifia ujinga...Harmo, Rayvanny,Mboso na Simba mwenyewe ni wa kimataifa..yeye anafanya nini hapo WCB? aondoke.
Kuna interview moja diamond alisema wazi Rayvanny hafanyi show chini ya 30mRayvany anafanya show kwa 15mil? Daah
Mond ndo kiboko alisema nje ya tz anapiga show 170m akiwa hajakatwa kodi.....rayvanny nje 50mKuna interview moja diamond alisema wazi Rayvanny hafanyi show chini ya 30m
Mambo ya wasanii bana
😀😀😀aiseeMond ndo kiboko alisema nje ya tz anapiga show 170m akiwa hajakatwa kodi.....rayvanny nje 50m