Lavalava awekewe mstari wa maelngo wa kuendelea kubaki WCB, Hatuoni maendeleo

Lavalava awekewe mstari wa maelngo wa kuendelea kubaki WCB, Hatuoni maendeleo

Nimeamini masikio yanatofautiana sana ,kiukweli niungane na mtoa mada kuwa sijawahi mwelewa mtu wa kuitwa lava lava hata kwa kujilazimisha imeshindikana ,maajabu sasa kuna huyu wanaemwita mbosso yaan huyu ndo kabisa sijawah penda wimbo wake wowote naona kama anapayuka tu tofaut na alipokuwa yamoto band alikuwa anautendea haki mziki ila saiz hamna kitu sijui kundi lilikuwa linambeba
 
Haka kajamaa vimstari vyake hua vinajirudia sijui kwanini
 
Anaimba kaswida atapata show sana Zanzibar tanga na kilwa
 
Kuna mdau humu jukwaani alishawahi kuandika uzi wenye kichwa cha habari kisemacho; LAVALAVA, BUNDI ALIYETUA WCB.

Nadhani kuna watu watauleta hapa tujikumbushe
 
-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake..
-anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake..
-lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki.
-laiti nafasi ya lava lava angepewa hata dogo janja hakika dogo janja angekuwa international tayari.

kina harmonize na rayvanny saizi ni moto ni wa kimataifa, Mbosso nae kibish kisbish anapambania gawio lake hapa bongo na shows anapata, queen darleen huyu ni dada yake D na hata akiharibu hawazi, Ila kwa Lavalava pana utata.


Kumkodisha harmonize au rayvanny kwa show yaweza kufikia milion 15, Mboso unaweza ikawa milion 7 ila hapa kwa lavalava si ajabu bei za kumkodisha ikawa ni milioni 3
Mimi naamini kazi na mchango wa msanii kwenye lebo ni zaidi ya unachokiona kwenye macho. Lava lava ni fundi wa tenzi na uandishi - yawezekana akawa nyuma ya hizo nyimbo nyingi unazozisifia! Kwa mfano Baikoko ni moja kati ya nyimbo alizoandika Lava Lava
 
Nimesikitika sana kuona humuelewi Kassim Mganga, bila shaka wewe ni mpenda singeli (namaanisha miziki ya fujo)
Aina hiyo ya muziki siupendi kwakweli, hakuna wimbo wake nimewahi kuupenda. Yeye, huyo lavalava na kassim mganga.
 
Nimesikitika sana kuona humuelewi Kassim Mganga, bila shaka wewe ni mpenda singeli (namaanisha miziki ya fujo)
Sipendi miziki ya fujo, singeli ndio kabisaaa hata akisikiliza mwingine nakereka.

Sipendi mahadhi ya muziki wanaoimba watu hao.
 
Binafsi napenda muziki wake sana tu, ingawa kuna ukweli kwamba hasongi mbele sijui tatizo ni nini
 
Kuna mdau humu jukwaani alishawahi kuandika uzi wenye kichwa cha habari kisemacho; LAVALAVA, BUNDI ALIYETUA WCB.

Nadhani kuna watu watauleta hapa tujikumbushe
Hahhah hance mtanashati huyo ndo aliandika uzi wa hivyo
 
Mimi nampenda lava lava Ila kuna kitu hakiko right, nadhani mtungaji wa mashairi yake hajampatia bado
 
-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake..
-anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake..
-lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki.
-laiti nafasi ya lava lava angepewa hata dogo janja hakika dogo janja angekuwa international tayari.

kina harmonize na rayvanny saizi ni moto ni wa kimataifa, Mbosso nae kibish kisbish anapambania gawio lake hapa bongo na shows anapata, queen darleen huyu ni dada yake D na hata akiharibu hawazi, Ila kwa Lavalava pana utata.


Kumkodisha harmonize au rayvanny kwa show yaweza kufikia milion 15, Mboso unaweza ikawa milion 7 ila hapa kwa lavalava si ajabu bei za kumkodisha ikawa ni milioni 3
Kuna k2 hakipo sawa mkuu lava lava naemjua mm anajua sana kuandikaa na kuimba cna shaka na utunz wake n msanii mzuri sema lebo haimtendei haki sio yy haitendei haki lebo
 
Back
Top Bottom