Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
πππ Rayvany huyu huyu?Kuna interview moja diamond alisema wazi Rayvanny hafanyi show chini ya 30m
Aina hiyo ya muziki siupendi kwakweli, hakuna wimbo wake nimewahi kuupenda. Yeye, huyo lavalava na kassim mganga.
I think so.Hupendi miziki ya mahadhi ya pwani
ππππππBora tuachane umeimba wewe na mumeo?
Acheni wivu wa kike nyie
Tatizo lako huna data na unachokiandikaKumkodisha harmonize au rayvanny kwa show yaweza kufikia milion 15, Mboso unaweza ikawa milion 7 ila hapa kwa lavalava si ajabu bei za kumkodisha ikawa ni milioni 3
Mimi naamini kazi na mchango wa msanii kwenye lebo ni zaidi ya unachokiona kwenye macho. Lava lava ni fundi wa tenzi na uandishi - yawezekana akawa nyuma ya hizo nyimbo nyingi unazozisifia! Kwa mfano Baikoko ni moja kati ya nyimbo alizoandika Lava Lava-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake..
-anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake..
-lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki.
-laiti nafasi ya lava lava angepewa hata dogo janja hakika dogo janja angekuwa international tayari.
kina harmonize na rayvanny saizi ni moto ni wa kimataifa, Mbosso nae kibish kisbish anapambania gawio lake hapa bongo na shows anapata, queen darleen huyu ni dada yake D na hata akiharibu hawazi, Ila kwa Lavalava pana utata.
Kumkodisha harmonize au rayvanny kwa show yaweza kufikia milion 15, Mboso unaweza ikawa milion 7 ila hapa kwa lavalava si ajabu bei za kumkodisha ikawa ni milioni 3
Aina hiyo ya muziki siupendi kwakweli, hakuna wimbo wake nimewahi kuupenda. Yeye, huyo lavalava na kassim mganga.
Sipendi miziki ya fujo, singeli ndio kabisaaa hata akisikiliza mwingine nakereka.Nimesikitika sana kuona humuelewi Kassim Mganga, bila shaka wewe ni mpenda singeli (namaanisha miziki ya fujo)
Hana kiki wamshauri tuBinafsi napenda muziki wake sana tu, ingawa kuna ukweli kwamba hasongi mbele sijui tatizo ni nini
Hahhah hance mtanashati huyo ndo aliandika uzi wa hivyoKuna mdau humu jukwaani alishawahi kuandika uzi wenye kichwa cha habari kisemacho; LAVALAVA, BUNDI ALIYETUA WCB.
Nadhani kuna watu watauleta hapa tujikumbushe
Kuna k2 hakipo sawa mkuu lava lava naemjua mm anajua sana kuandikaa na kuimba cna shaka na utunz wake n msanii mzuri sema lebo haimtendei haki sio yy haitendei haki lebo-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake..
-anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake..
-lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki.
-laiti nafasi ya lava lava angepewa hata dogo janja hakika dogo janja angekuwa international tayari.
kina harmonize na rayvanny saizi ni moto ni wa kimataifa, Mbosso nae kibish kisbish anapambania gawio lake hapa bongo na shows anapata, queen darleen huyu ni dada yake D na hata akiharibu hawazi, Ila kwa Lavalava pana utata.
Kumkodisha harmonize au rayvanny kwa show yaweza kufikia milion 15, Mboso unaweza ikawa milion 7 ila hapa kwa lavalava si ajabu bei za kumkodisha ikawa ni milioni 3