Lavalava ni msanii mzuri sana

Lavalava ni msanii mzuri sana

Right eye

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
1,149
Reaction score
1,994
Habari wana jamvi,

Mie bongo fleva nimeanza kuifuatilia kitambo sana enzi za bdp na sosy b na mpaka sasa bado naisikiliza nimebahatika kuviona vipaji vingi kwenye hii tasnia waimbaji kwa maraper.

Lakini nikiri wazi kua Lava lava ni bwana mdogo mwenye kipaji sana sema naona kama hapati anachostahili.Ni msanii mwenye uwezo wa kuandika na kupangilia melody kali sana zenye mvuto kwa sikio lolote lenye kuujua mziki.

Naomba asikate tamaa aendelee kutunga na kuweka akili kwenye mziki ipo siku tasnia itakiri uwezo wake na kupata kile anachostahili.

Asante.
 
Weka wimbo wake mkali wenye melody unayo isifia hapa
 
Ungeambatanisha na nyimbo zake hata mbili tuzichambue hapa
 
Nimeshindwa kuzipandisha hapa lakin kama unayo nafasi unaweza kusikiliza nyimbo zake Kama,tuachane,gundu,teja ,niue utaona bwana mdogo anajua sema hajapewa attention na watu tu..
 
Weka wimbo wake mkali wenye melody unayo isifia hapa
Kwakua umeomba wimbo mi ntakupa nyimbo zake Kali otherwise uwe ni hater Tu jamaa namkubali Sana.

Single
Saula
Teja
Dede
Tekenye
Sexxy mama
Komesha
Bado Sana
Tajiri (ndo homa ya Jiji Kwa sasa)
 
Back
Top Bottom