Lavalava ni mzigo kwa WCB haingizi faida yoyote na nyota pia hana

Lavalava ni mzigo kwa WCB haingizi faida yoyote na nyota pia hana

Mayunga234

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,725
Reaction score
1,995
Lavalava kitu kinachomkwamisha kutoendelea kimziki kwanza ana kaulimbukeni marafiki zake wanaomzunguka ni walamba midomo hawawezi kumshauri chochote zaidi ya mademu.

Lavalava anatakiwa abadilike otherwise atapitwa kila siku kwasababu ya uzembe wake na pia hajitathimini upya ili kuongeza mvuto kwa mashabiki sio kulamba lamba mdomo.

Zuchu ni Mtoto mdogo ila kampita kila kitu yeye bado yupo vile vile kama Sanamu.

Uongozi wa WCB unamuonea huruma kumbeba tu ila hana maajabu yeyote.

1632159431100.jpeg
 
Mimi mara kadhaa ninapofikiria kuhusu wasanii waliopo WCB, Lavalava huwa simkumbuki mara nyingi
 
ukimuondoa diamond, rayvany, zuchu, mbosso, harmonize na kiba tanzania hakuna msanii anaemzidi lava lava mauzo kwenye digital platform.

lava lava hawezi kua kama wasanii wengine wa wcb coz katika maisha kuna levels, alipo yeye ndo level yake hivo asilazimishwe kua kama wengine.
Umenena vyema mkuu
 
ukimuondoa diamond, rayvany, zuchu, mbosso, harmonize na kiba tanzania hakuna msanii anaemzidi lava lava mauzo kwenye digital platform.

lava lava hawezi kua kama wasanii wengine wa wcb coz katika maisha kuna levels, alipo yeye ndo level yake hivo asilazimishwe kua kama wengine.
Baada ya uliowataja wamebaki wasanii gani?
 
Lavalava kitu kinachomkwamisha kutoendelea kimziki kwanza ana kaulimbukeni marafiki zake wanaomzunguka ni walamba midomo hawawezi kumshauri chochote zaidi ya mademu
Wewe ni msemaji WCB kupitia JF ,sisi inatuhusu na nini humu akifanya vizuri au asifanye vizuri,wacha domo kaya.
 
Kwenye mziki ni bora ubaki single artist ,mifano ni mingi sana kwenye kunyonyana na kubebana kwenye makundi:

Outlaws-2pac alikuwa anabeba wenzake wote kidogo Gaddafi

Druh hill-Sisqo alikuwa anabeba wenzake.

Maybach music-Rick ross na meek mill wanabeba kundi kuna watu wa ovyo kabisa kama wakina Gun play na Yung breed wapo wapo tu kidogo Wale.

Bad boys-Kipindi cha biggie walijaa wabeba pochi tu wakina lite sizzle ata hawana hit moja Mase akajitaidi kidogo kubeba kundi yakamshinda akaenda kuokoka,wengi wameishia jela hamna kundi linaongoza kwa wasanii wake kuishia jela kama ili.

Naught by nature- ukitoa Treach hao wengine wakina Vin rock walikuwa tu kujaza nafasi.

Ruff Ryders-Kidogo ndio kundi unaweza sema kuna wasani wanaojiweza almost wote japo bado kuna waliokuwa wanabebwa ukitoa Dmx,Jada kiss,Styles P,Eve na Swiss Beat kuna yule mchina Jin Au ,Drag na Sheek tulipigwa.

And the list goes on and on,ni mfumo wa kawaida sana kwenye makundi ndio maana ni bora utoke solo ikishindikana kabisa last resolution iwe kundi.
 
Katika maisha kila mtu ana wito wake aliopangiwa na Mungu. Lava Lava wito wake ni madrasa. Angebaki kwenye kaswida pengine leo hii angekuwa maarufu na tajiri kama kina Kishki. Sasa akaenda kuimba huku nyota yake imekaa ki ustaadhi ustaadhi ndio maana hata afanyeje hashtui watu maana inakuwa kama anafosi.
 
Back
Top Bottom